TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Huyo jamaa katoa hoja ya hovyoKwani bila huko rufiji kuwa mkoa wananchi hawawezi kupata maendeleo??
Hivi huko CCM vichwani mwenu mnafugaga funza nini? Hizi akili mnazitoaga wapi?
Kweli mpumzike tu!