Rufiji: Wawili wakamatwa na Shehena ya Kopa Tani 7.7 waya za kopa Kilo 2,628.5 7.7 za TRC na TANESCO

Rufiji: Wawili wakamatwa na Shehena ya Kopa Tani 7.7 waya za kopa Kilo 2,628.5 7.7 za TRC na TANESCO

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Baada ya kutoa taarifa Desemba 12, 2024 ya kukamatwa kwa watuhumiwa wawili wenye asili ya Asia katika operesheni iliyofanyika katika Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Kipolisi Rufiji wakiwa na nyaya za copper ambazo zilitambuliwa kuhujumiwa kutoka miundombinu ya TANESCO na Shirika la Reli Tanzania (TRC), ambapo watuhumiwa hao walikutwa na nyaya hizo katika kiwanda chao ambapo nyaya za Copper za TANESCO zilikuwa na Kilogramu 608.6 na Kilogramu 5,500.17 za TRC.
WhatsApp Image 2024-12-14 at 22.36.26_da692824.jpg

WhatsApp Image 2024-12-14 at 22.36.25_b61f6f0b.jpg

WhatsApp Image 2024-12-14 at 22.36.25_5fdc5098.jpg
Katika operesheni hiyo endelevu, Desemba 13, 2024 tumefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine wawili, mmoja akiwa na asili ya Kiasia na mwingine ni Mtanzania wakiwa na kiasi cha copper blocks 426 zenye uzito wa Kilogramu 7,728 na Copper wire zenye uzito wa Kilogramu 2,628.5 zilizotambuliwa kuwa ni mali zilizoibiwa kutoka kwenye miundombinu ya TANESCO, na waya za Copper za Shirika la Reli Tanzania TRC zenye uzito wa Kilogramu 430.

Copper blocks hizo zimetengenezwa kutoka kwenye nyaya ambazo zimeibiwa TANESCO na TRC ilikuficha uhalisia wake.

Chanzo cha kukamatwa kwao ni baada ya kukamatwa kwa gari moja aina ya Fuso iliyokuwa imebeba shehena ya blocks na nyaya za copper walizotoa kiwandani kwao kwa ajili ya kwenda kuzificha baada ya kuona operesheni kali ya Polisi inayoendelea.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linaendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano katika kubaini, kuzuia na kuwakamata wale wachache ambao hawataki kufuata njia halali za kujipatia kipato na badala yake wanahujumu miundombinu ya Serikali.

Aidha operesheni hii itaendelea hadi mtu wa mwisho aliyehusika katika hujuma hizi atakapo kamatwa.


Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kipolisi Rufiji
 
Baada ya kutoa taarifa Desemba 12, 2024 ya kukamatwa kwa watuhumiwa wawili wenye asili ya Asia katika operesheni iliyofanyika katika Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Kipolisi Rufiji wakiwa na nyaya za copper ambazo zilitambuliwa kuhujumiwa kutoka miundombinu ya TANESCO na Shirika la Reli Tanzania (TRC), ambapo watuhumiwa hao walikutwa na nyaya hizo katika kiwanda chao ambapo nyaya za Copper za TANESCO zilikuwa na Kilogramu 608.6 na Kilogramu 5,500.17 za TRC.
Katika operesheni hiyo endelevu, Desemba 13, 2024 tumefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine wawili, mmoja akiwa na asili ya Kiasia na mwingine ni Mtanzania wakiwa na kiasi cha copper blocks 426 zenye uzito wa Kilogramu 7,728 na Copper wire zenye uzito wa Kilogramu 2,628.5 zilizotambuliwa kuwa ni mali zilizoibiwa kutoka kwenye miundombinu ya TANESCO, na waya za Copper za Shirika la Reli Tanzania TRC zenye uzito wa Kilogramu 430.

Copper blocks hizo zimetengenezwa kutoka kwenye nyaya ambazo zimeibiwa TANESCO na TRC ilikuficha uhalisia wake.

Chanzo cha kukamatwa kwao ni baada ya kukamatwa kwa gari moja aina ya Fuso iliyokuwa imebeba shehena ya blocks na nyaya za copper walizotoa kiwandani kwao kwa ajili ya kwenda kuzificha baada ya kuona operesheni kali ya Polisi inayoendelea.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linaendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano katika kubaini, kuzuia na kuwakamata wale wachache ambao hawataki kufuata njia halali za kujipatia kipato na badala yake wanahujumu miundombinu ya Serikali.

Aidha operesheni hii itaendelea hadi mtu wa mwisho aliyehusika katika hujuma hizi atakapo kamatwa.


Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kipolisi Rufiji

Wahusika ndani ya Tanesco na TRC wachukuliwe hatua pia. Hiyo lazima ni kazi ya chain ndefu ya uhujumi uchumi. Uzoefu unaonyesha kazi za kihalifu mara nyingi zinaanzia ndani na hao waliokamatwa ni wachache tu.
 
Baada ya kutoa taarifa Desemba 12, 2024 ya kukamatwa kwa watuhumiwa wawili wenye asili ya Asia katika operesheni iliyofanyika katika Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Kipolisi Rufiji wakiwa na nyaya za copper ambazo zilitambuliwa kuhujumiwa kutoka miundombinu ya TANESCO na Shirika la Reli Tanzania (TRC), ambapo watuhumiwa hao walikutwa na nyaya hizo katika kiwanda chao ambapo nyaya za Copper za TANESCO zilikuwa na Kilogramu 608.6 na Kilogramu 5,500.17 za TRC.
Katika operesheni hiyo endelevu, Desemba 13, 2024 tumefanikiwa kukamata watuhumiwa wengine wawili, mmoja akiwa na asili ya Kiasia na mwingine ni Mtanzania wakiwa na kiasi cha copper blocks 426 zenye uzito wa Kilogramu 7,728 na Copper wire zenye uzito wa Kilogramu 2,628.5 zilizotambuliwa kuwa ni mali zilizoibiwa kutoka kwenye miundombinu ya TANESCO, na waya za Copper za Shirika la Reli Tanzania TRC zenye uzito wa Kilogramu 430.

Copper blocks hizo zimetengenezwa kutoka kwenye nyaya ambazo zimeibiwa TANESCO na TRC ilikuficha uhalisia wake.

Chanzo cha kukamatwa kwao ni baada ya kukamatwa kwa gari moja aina ya Fuso iliyokuwa imebeba shehena ya blocks na nyaya za copper walizotoa kiwandani kwao kwa ajili ya kwenda kuzificha baada ya kuona operesheni kali ya Polisi inayoendelea.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji linaendelea kutoa wito kwa wananchi kuendelea kutoa ushirikiano katika kubaini, kuzuia na kuwakamata wale wachache ambao hawataki kufuata njia halali za kujipatia kipato na badala yake wanahujumu miundombinu ya Serikali.

Aidha operesheni hii itaendelea hadi mtu wa mwisho aliyehusika katika hujuma hizi atakapo kamatwa.


Kamanda wa Polisi
Mkoa wa Kipolisi Rufiji
Acha uwongo, hamna Mkoa unaoitwa Rufiji nchini Tanzania
 
Duh!!! Hawa jamaa wameweka jam kubwa sana siku mbili hizi kwenye biashara ya copper.

Serekali ilistopisha kidizain kopa isinunuliwe.
 
Hahaha IDD AMin angefukuza Wa-ASIA wote, na huo ndio Ujasiri, hakuna tume wala uchunguzi, mshikwa na ngozi mwizi.
 
Sitetei wizi ila tanesco ya wapi waliyoibiwa?
isije ikawa wanapita na beat.
 
Hatua kali na za haraka za kisheria zichukuliwe. Hivi India tunaweza kwenda kuhujumu miundo mbinu yao ili tuifanye malighafi. Inaumiza sana.
 
Ndio matokeo ya kupuuza elimu na waalimu, Hapa duniani sehemu sahihi ya Ku shape tabia za raia ni shuleni TU na familia, ukiangalia kwa umakini utagundua kuwa shule siku hizi hazina uwezo wa ku shape watoto na matokeo yake ni haya haya taifa linakosa wazalendo isiopokuwa wezi na wahujumu uchumi
 
Why vague statements kama raia mwenye asili ya Asia, huyo jamaa hana utaifa? Mwarabu, mchina, mhindi, mpakistani, mkorea, mjapani ama nani?
 
yaani huyu ndio anasababisha sgr izime njiani kweli, situmalizane nae tu
 
Back
Top Bottom