Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaha lol..
Huu mchezo huu we acha tu..
Hakuna mchezo ninao upenda duniani kama huu..
Hakuna lelemama mkuu kwenye huu mchezo..
kweli kenya wapo juu..kampuni la ndegre linafadhili timu..sisi kampuni letu llinaongozwa na ma ggggggayyy tukiongea wanaenda bungeti kutaksa ja ifunge
Kenya wanashine anga za kimataifa siyo riadha siyo rugby wanatesa kweli. Tanzania we need lots and lots of soul seaching. What went wrong hadi tumefifia hivi. Once tulikuwa na mashujaa Filbert Bayi, Juma Ikangaa ,not anymore.
at least ni wanaume haswa...
we unaweza kubiringishana vile...
kw taarifa yako siangalii tuu wanaume..
naangalia kila mchezo wa rugby iwe wanawake au wanaume..