The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
In regards to the treatment during the WC, it has also been questionable. It is clear they wanted to give Mcaw the 100th test first. Would love to hear his opinion on the matter.
Although it appears that Dagg is younger and better, they shld give this guy his due respect and a home WC send-off. I dont think there is such a huge difference between the two. The choice between the two is almost a coin toss. And hence, the argument that Mills shld have played more.
Vipi? Treatment ya Mils Muliaina kwenye hii World Cup umeionaje? Mimi naona kama vile wampiga chini vibaya, hasa kwa mtu aliyecheza 100 games for the ABs!
Duh...SA wamechoka kweli! Lakini they controlled the game! Sasa game ya Sunday ni noma. Its worthy of the finals. Pale All Blacks wakikenua kenua kama leo wajue ni bao tu! Alafu wasimchezeshe SBW. Yule jamaa ni too risky na rugby league passes zake...lol
Sasa my predictions ni kuwa All Blacks will be the champions maana wale ambao nilikuwa nawategemea wametolewa so sad AD will meet later you have my consolation prize sasa sijui nihamie wapi we'll have to discuss this lol
yeah hata mi binafsi sijapenda walivyo mfanyia kwa kweli yaani leo wameamua kutangaza kabisa hata cheza tena hii world cup..
daahhh ulimuona kwenye news leo .. jamaa alidondosha chozi.. Kwa kweli hajamtendea haki..
I saw this comingHaya...Denzi kapotea! Ngojea nimalizie story sasa. ALL BLACKS WON....final score 8-7!
Dakika 20 za mwisho hakuna mtu alikuwa anapumua uwanja mzima!
View attachment 39682