mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Ikiwa imebaki siku chache kufanyika tamasha kongwe la Fiesta,kumetokea kuzorota na kukosa msisimko kabisa kwa tamasha ili tofauti na miaka ya nyuma..ni kana kwamba Ruge mwaka huu ategemee maumivu makali sana kwa uchache wa maudhurio.
Hali hii sijui imetokana na nini,ni kukosa jipya(ubunifu)? wananchi kukinai? au tukio la Eatv kuwa pre empty kwa kutangaza vizuri show ya Psquaire.?
Labda kukosekana kwa msanii wa kimataifa wa kueleweka,maana wasanii toka nje wa safari hii ni utumbo mtupu sijui Davido,Jmartins, Allein yani ni bora wangemaimamisha Diamond kuwa main perfomer,pengine hii nayo imechangia.
Ila kwa kifupi Ruge na fiesta mwaka huu wamefulia mpaka noma sanaa!!
Tunasubiria Show ya Psquaire.
Hali hii sijui imetokana na nini,ni kukosa jipya(ubunifu)? wananchi kukinai? au tukio la Eatv kuwa pre empty kwa kutangaza vizuri show ya Psquaire.?
Labda kukosekana kwa msanii wa kimataifa wa kueleweka,maana wasanii toka nje wa safari hii ni utumbo mtupu sijui Davido,Jmartins, Allein yani ni bora wangemaimamisha Diamond kuwa main perfomer,pengine hii nayo imechangia.
Ila kwa kifupi Ruge na fiesta mwaka huu wamefulia mpaka noma sanaa!!
Tunasubiria Show ya Psquaire.