heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
sasa we uyo alain akisimama na Diamond au Nature nani anakalisha? au unashoboka tu kusikia mtu katoka Jamaica...ebu nambie 'heat' yake ambayo inaweza kumtoa mtu mbagala au tegeta kuja kumuona baada ya kujichanga sana..sijui kwanza kama unafahamu hadhira ya Fiesta..
fiesta imedoda!
Kumbe Diamond huwa mnamkubali.mnajitoaga tu ufaham