heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393
sasa we uyo alain akisimama na Diamond au Nature nani anakalisha? au unashoboka tu kusikia mtu katoka Jamaica...ebu nambie 'heat' yake ambayo inaweza kumtoa mtu mbagala au tegeta kuja kumuona baada ya kujichanga sana..sijui kwanza kama unafahamu hadhira ya Fiesta..
fiesta imedoda!
Kumbe Diamond huwa mnamkubali.mnajitoaga tu ufaham
Kumbe Diamond huwa mnamkubali.mnajitoaga tu ufaham
Invisible nisaidie niweze kuupload nyimbo za Alaine humu watu wamjue anakalisha mbaya kabisa!!! Nyimbo ziko kwenye simu
watu hawamchukii diamond tena tunajiskia fahari kupata kijana mchapakazi kama yeye ila tunakerwa na pumba zako unazopost humu jamvini!!
Unafiki huo
mala ngapi mnamponda humu na hata kumwita majina ya ajabu.
watanzania bana
we mmarekani!! kajambe mbele huko naona najichosha tu
..............RIHANA.......
sina maslahi na ruge ila mleta hoja yaelekea umetumwa sio bure.
ha ha hawe mmarekani!! kajambe mbele huko naona najichosha tu
hasa zile ngoma zake za bye bye, we raise again, jah is so good na jehovah hizi ngoma ni balaa!!!!!!!!!!!!!mimi Alaine namkubari sana.
Jamani...anaitwa 'Alaine'....alain ndo nani!?