TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Kifo cha huyu jamaa! Kiliniacha hoi sana! Naweza sema kwamba alikua na hili tatizo la figo muda kidogo,lakini nakumbuka kitu kimoja!

Kuna siku Magufuli akiwa Rais,alisema Makonda na Ruge ni vijana wake,wapatane wakae chini wayamalize,pale kwenye jukwaa Magufuli aliwaita wote Makonda na Ruge,na akasema wanaposhuka kutoka kwenye jukwaa washikane mikono!

Wote tuliona kwa macho yetu,Ruge alikataa kushikana mkono na Makonda,baada ya hapo tukaja sikia tu Ruge anaumwa yupo South Africa anatibiwa!

Hadi siku ya Mauti,Magufuli ndiyo alitoa taarifa ya kifo cha Ruge!

Kutokushikana mkono na Makonda,wakati Rais katoa amri,tena mbele ya watu wengi,lilikua ni chukizo kubwa sana kwa mnene!
 
Miaka inaenda it's almost 6 years.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…