Ukizidi utakuwa shangingi
Kawaida sana hyooo!!!hakuna jipya chini ya juaUkizidi utakuwa shangingi
Ok basis sawa mama chaumbe endelea kumumunya ubuyu mi ntafanyaje sasa
Ok basis sawa mama chaumbe endelea kumumunya ubuyu mi ntafanyaje sasa
Mbona umeulizwa swali jepesi unarusha cheche?Kwa hiyo na mzee Mutahaba (kama naye baba yake yupo)akazikwe kwa baba yake akifa?
HahaaSio kila mtu ana umasikini wa hela kama wewe. Wengine tunatafta wanawake.
Niliwahi kuwaambia watu kuhusu hili .na hii ndio ilikuwa sababu ya ile michangoHuyu alikufa siku nyingi sema hela ya kulipia na kutoa mwili ikawa shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kuna ajabu gani kujenga mapema?Hii imenishangaza sana kwa kweli wahaya wameanza ujenzi wa kaburi leo mazishi siku tatu zijazo mbona mapema sana au litakuwa la ghorofa? au litakuwa lina underground
Umeenda haraka naamini haujanipata uzuri.Swali ni hivi;Ruge alikuwa ni mtu mzima katika jamii.Japokuwa sijakataa kwa wazazi wake ataendelea kuwa "mtoto".Hoja ni kuwa,kwa nini msiba haukufanyika/kupokewa nyumbani kwa Ruge na badala yake ukiagwa tu uelekee kwa baba yake mzee Mutahaba?Kuna hoja kuwa ni maamzi ya familiakuwa azikwe kwenye makaburi ya familia.Ndiyo maana nilikuuliza swali la kizushi.Ina maana na mzee Mutahaba atarudi kuzikwa kwa babu wa Ruge?Ni swali chokonozi kama ukiliendea kwa umakini.Tafakari.mkuu huwa nakuona mwelewa kumbe nawe mweupe hivi (nimeshindwa iona tofauti yako na selleboss yule diwani huko tanga)
tunazungumiza msiba kuwa kwa baba yake na sio kwake ww unakuja na mambo ya kuzikwa
kwani atakapo zikwa Ruge ni wapi kama si kwa babu yake huko bukoba. wapi umesikia ama kuambies atazikwa kwa baba yake (ulipo msiba hapo dawa)
hakuna swali chokonozi hapo sema huna uelewa na kabila la wahayaUmeenda haraka naamini haujanipata uzuri.Swali ni hivi;Ruge alikuwa ni mtu mzima katika jamii.Japokuwa sijakataa kwa wazazi wake ataendelea kuwa "mtoto".Hoja ni kuwa,kwa nini msiba haukufanyika/kupokewa nyumbani kwa Ruge na badala yake ukiagwa tu uelekee kwa baba yake mzee Mutahaba?Kuna hoja kuwa ni maamzi ya familiakuwa azikwe kwenye makaburi ya familia.Ndiyo maana nilikuuliza swali la kizushi.Ina maana na mzee Mutahaba atarudi kuzikwa kwa babu wa Ruge?Ni swali chokonozi kama ukiliendea kwa umakini.Tafakari.
Pole sana kwa kweli..na hao ndiyo wafiwa, wengine wavimba macho tu.Uko sahihi iwapo tu familia ya Mzee Mutahaba ingekuwa mbali na Dar, au kama huyu mzee asingekuwepo mahali pa karibu kwa sababu yeyote ile. Kwa sasa hivi kwa vile yupo, msiba unakuwa ni wa Mzazi, Prof Mutahaba.Nawapa pole sana wafiwa!