TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Barnaba kavaa nn sasa?mwanaume na akili zako unaenda kuaga mwili wa marehem umevaa suruari zilizochanwa?
 
Magufuli kaingia naona leo hamna kile kiti chake kamuomba majaliwa asogee akakaa jirani na kikwete
 
Tofautisha chombo cha habar na mtu binafsi.. diamond mwenyew hisa zake hazitoshi kupinga media isichukue hiyo habar na ukizingatia kila mtu anashauku ya kujua nn kinaendelea kaa kibiashara kwanza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tofautisha chombo cha habar na mtu binafsi.. diamond mwenyew hisa zake hazitoshi kupinga media isichukue hiyo habar na ukizingatia kila mtu anashauku ya kujua nn kinaendelea kaa kibiashara kwanza


Sent from my iPhone using JamiiForums
Uongo mkubwa huu, leta ushahidi mkuu kuwa diamond anahisa chache pale wasafi media usilete maneno ya mtumwa wa ngono mange kimambi.
.
Sizani kama unamjua vyema salam sk na babu tale wao ni zaidi ya ruge mutahaba kimitazamo na kiufanisi likija suala la muziki
 

Umeandika kimipasho sana, hao unaowataja wote wamepitia kwenye mikono ya marehemu


If you clean a vacuum cleaner, doesn’t that make YOU a vacuum cleaner?
 
Hakua na mke hivyo huwezi ita zama ni mke na kama kuolewa ,alishazaa na mwanamke ila huyo mwanamke akaolewa juzi juzi na rommy jones hivyo sijui wamuongelea mke yupi zama au huyo wa rommy?
Sijakuelewa mkuu,unamaanisha huyo zamaradi kaolewa na rommy jones ?
ebu nieleweshe vizuri mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi sasa Wasafi tv wako live (mubashara) kwenye ukumbi wa karimjee kumuaga aliyekuwa mkurugenzi wa uzalishaji wa vipindi vya clouds.
.
Sasa wale ndugu zangu ambao mna chuki na diamond platnumz mliokuwa mkimsema kuwa hajaguswa na lolote semeni tena
Mwenye kauli ya mwisho wasafi media ni kusaga na si balozi diamond
 
Mie simsaidii msanii ila nanunua kazi zao na kulipia kiingilio maonyesho yao. Hivi unadhani mtu mwenye kipaji anasaidiwa au watu wanagawana nae mapato ya kipaji chake? jibu ilo kwanza
Yaani unaleta ujamaa kwenye dunia ya kibepari? Kwani hawakuingia mikataba na huyo Ruge na Daimond? Kama waliingia kwanini mnamwita mnyonyaji? Yaani akili ndogo za wasanii wenu ndo lawama kwa mtu aliyeweka pesa na muda wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lady Jaydee aliwaambia kama bila wao asingekua msanii mkubwa wawachukue dada zao waimbe nao wawe maarufu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila yeye kivipi? Watu wakulipie studio time, promotion,na vitu vingine afu unaleta lugha za kuteleza,bila mimi wao wasingejulikana? Kwa lipi huyo si angewaombaa wazazi wake asa wamlipie hivyo vyote ili asilaumu watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…