Anasema Jide alimtukana ndiyo maana walizuia kupiga nyimbo zake, katoa mfano nyimbo za rayc zilikua hazipigwi eatv, nyimbo za diamond zilizuiliwa magic fm, etc etc
Mwanzo wa tatizo anadai aliona post kwenye mitandao akampigia na Jide ndo akaanza kumwambia kwanini amelipia matangazo yake na hayachezwi? Na wanataka kuiua bendi yake uku wakiendelea kuipromote skylight bendi? Ruge anadai alikua mbali na akamuaidi kumtafuta bt hakumtafuta tena na ndipo maneno yalipozidi kitu kilichopelekea na wao clouds kutopiga nyimbo zake.
Na pamoja na kwamba wanaambiwa wanaipromote skylight bend na kuambiwa ni yao Ruge anasema hiyo bend ni ya Sebastian Ndege. Tatizo anasema Jide anaogopa ushindani ambapo ni kitu cha kawaida.
Anaelezea jinsi alivyoanza kumfaham jd miaka ya 2000, alimsikia akirap akaongea na Taji Liundi kuhusu jd, akaweza kuonana nae kisha akamtengenezea albam ya machozi