Ruge mutahaba ajibu mashambulizi dhidi ya tuhuma za lady jaydee

Anasema yeye ndo aliwaibua wasanii wengi akiwemo Rayc, Mwanahela, Mr. Poo, Stara Thomas, etc etc
 
Yaani ataka kuonyesha jd kaishiwa asilalamike akubali kubadilika huu ni uuaji wa mziki kabisa ruge not fair
 
Anadai jd amekwisha kimziki na ni lazima akubali kuachia game, anatumia neno kupokezana kijiti na anasema wakati umefika kwa jd kukabidhi kijiti kwa mwingine.
 
Anasema yuko tayari kukaa ktk meza ya mazungumzo na Jide
 
Anasema yeye ndo aliwaibua wasanii wengi akiwemo Rayc, Mwanahela, Mr. Poo, Stara Thomas, etc etc

Anavyoongea kama Saint vile, ni kama hajawah kabsa kumnyonya mtu hata kwa bahati mbaya! mwisho wa siku atazoa mashabiki...
 
Kuacha kazi ya utangazaji ni kutokana na maelewano yao kwamba aliambiwa achague ndipo alipo chagua muziki kama kazi.

Ruge ana muusia Jd kama anadhani kuna tatizo kati yao basi wazungumze na kama hawezi kwenda yeye mwenyewe basi atume mtu na pia awe na hoja kamili ili wayamalize
 
Anadai malalamiko ya Jd hayana hoja kamili,

tupape matangazo (Hando)..
 
Anaelezea jinsi alivyoanza kumfaham jd miaka ya 2000, alimsikia akirap akaongea na Taji Liundi kuhusu jd, akaweza kuonana nae kisha akamtengenezea albam ya machozi

na jide anasema KIPAJ HAKIBEBW,KAMA WALIMBEBA BASI WANGEWABEBA DADA ZAOOOO
 
Nimemuelewa sana Ruge, pamoja na matatizo ya Clouds ila JD ndio mwenye matatizo kwenye huu ugomvi!!
 

lakin ni kwanin lawama clouds????mnamkumbuka SUGU?SOLO?
HUWA WANATIBUANA THEN WANATAKA SULUHU
 
Hii kupokezana vijiti yani ni kama jide aachie ngazi ....eti hakujipanga..vijembe live.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…