Ruge mutahaba ajibu mashambulizi dhidi ya tuhuma za lady jaydee

Ruge mutahaba ajibu mashambulizi dhidi ya tuhuma za lady jaydee

na kutoka makao makuu ya nchi mawasiliano yanapokutana
gody fundi mitambo, mhariri na mfuatiliaji mazungumzo na kicm cha toch kuangalia nani anasema uongo!
Sina la ziada na logout!!

hahahahaaaaaaa,ulikuwa usikika laivu bila chenga
 
Last edited by a moderator:
Jamaa ni 'muhuni wa mjini' kweli ndo maana ile biashara kaimudu kwa mda mrefu na kwa mafanikio pamoja na challenges kibao anazokumbana nazo

Kama ni muhuni basi sio mtu wa kuaminika mkuu,...wahuni mara zote hawana muelekeo wa msimamo.
 
Kama ni muhuni basi sio mtu wa kuaminika mkuu,...wahuni mara zote hawana muelekeo wa msimamo.

Yah,ila uhuni wake ni wa kisomi,ni ngumu sana kumshitaki.Kama alivyosema ile ni biashara bwana,hata ukimlipa msanii sh 10 ilimrad mmekubaliana haina tatizo
 
Yah,ila uhuni wake ni wa kisomi,ni ngumu sana kumshitaki.Kama alivyosema ile ni biashara bwana,hata ukimlipa msanii sh 10 ilimrad mmekubaliana haina tatizo

Huo sio uhuni wa kisomi hata kidogo_hizo ni dhuluma kama dhuluma zingine mkuu,..sema Ruge anakitolea maneno chake(radio) ndio maana anajifanya kujisafisha hapo,...huwezi kudhulumu watu halafu ukasema ni soko huria_kila kitu kina mipaka na kiasi chake,..huyo ni dhulumat tu.period
 
Muda wa kupokeza kijiti kwa mwingine umefika....:A S clock::A S clock::A S clock::A S clock::A S clock:
 
JD anatakiwa afahamu pia...Nyumbani Lounge imeharibiwa sana na tabia ya Gardiner, mbali na kupiga mizinga, tabia ya kugombana na wateja, mburula sana huyu jamaa.
 
Muda wa kupokeza kijiti kwa mwingine umefika....:A S clock::A S clock::A S clock::A S clock::A S clock:
May b ..... I f nt na mlengwa kama anajiona ana uwezo basi ajipange upyaaa.
 
jide anaweza tumia hii kama opportunity pia kwani jamaa katumia mda mrefu sana kulizungumzia hilo.so kuna ambao walikuwa hawajui nyumbani lounge watakwenda.kuna nyimbo kazitaja watu watapenda kusikiliza so iko poa.
 
Anasema wanaambiwa wanawanyonya wasanii wakati wao wanatamasha moja tu kwa mwaka ambayo ni fiesta tu

Msimamo wake Jd akaze buti na ajipange cse kilicho mshusha ni skylight bend. Aache kushambulia watu kwenye mitandao

Kwani bendi ipo Skylight bend peke yake? Ruge aache kutuaminisha upumbavu, kwa nini sio Top band au nyinginezo? Akubali kuwa hapendi maendeleo ya Jide
 
"There iz no smoke without Faya" jamaa ajifanya smart sn wakat cyo,strategy anayoitumia tunaijua kuajir cheap labor,form for failure kuanzia watangazaj mpk Ao Ruge House of Talent.si ashajua weakness zao wanataka majina hawa waz mbele mpk waje kumshtukia na kujua Hak zao bado sn washamuingizia hela nying sn, ndo ayo yaliyomkuta Jd kashamnyonya sn,jamaa mnyonyaj sn haiwezekan kila mtu anakusema ww tu.na bado watanyonywa sn na Ajira zilivyokua ngumu afu form 4 liva,utaenda wap zaid ya hpo.Maliza Shule kabane Pua mjengon una kapata kagar kako ka mkopo Jina kubwa mjin hapa umepanga chumba sinza bhaaaaaaas mwenzako anaingiza hela.Mjin Shule kijijjin kilim0.
 
Hivi Ruge, Ruge , Ruge ndo nini jamani hapo mmeniacha kabxa,,
 
Kwani bendi ipo Skylight bend peke yake? Ruge aache kutuaminisha upumbavu, kwa nini sio Top band au nyinginezo? Akubali kuwa hapendi maendeleo ya Jide


Kwa maelezo yake ndo band inayo vuma kwasasa kiasi cha kumshusha Jide
 
Jamani hivi Tanzania hatuna uwezo wa kujieleza namna hii? Yaani Ruge tangu ameanza kuongea sijaona jibu la msingi mpaka sasa zaidi ya personal attack

kwani jd alichokifanya ni nini kama sio personal attck kwa ruge na kusaga? mkuki kwa nguruwe
 
Kipindi kinaisha song la Hakuna Mungu kama wewe! Baada ya Ruge kusema leo siku zima hamna kupiga Bongo fleva na kusisitiza sana coz ni radio binafs hakuna anayewapangia maamuzi!!

maana yake hakuna meneja wa vipindi hapo!!?...............hawana mpangilio wa kazi wa siku!!?...............siamini kama wako tupu namna hii....ila kwakuwa ''nshomile'' anajaribu kuwaonyesha watanzania kwanini wafanyakazi wa clouds media wanamuita ''bosi ruge'' basi ndo kaamua hakuna bongo fleva leo!!aslimia sabini ya muziki wao ni bongo fleva,leo kamuongelea jide anajaribu ku - prove a point that wao ni redio binfsi so hawapangiwi..........utumbo mtupu!!

hajajibu hoja za msingi za wadau wa sanaa ya bongo zaidi ya personal attack kwa jide...mi sio shabiki wa yeyote ila nilitaraji majibu ya msingi na akili zaidi toka kwa bosi wa redio kubwa kama huyu!
 
Back
Top Bottom