Ruge Mutahaba anaumwa nini?

Ushamba huo oeleke kule ambapo hakuna maadali humunkuna maadali
 
NI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
kwahiyo unataka sisi tufanywje sasa mbona ytu unatutoka
 
Mwili umechoka dose kali..
Akabadilishe damu..na aende service garage!

Hayo mengine ni nakshi nakshi tu...Ruge hanaga kufa kwa mapenzi!
Zake alichoka ndo akaondoka!pamoja na figisu nyengine kuchangia!
Tumuombee nusra kiumbe wenzetu ila mwiba unapochomea ndo unapo tokea@
 
tuchukukie hiki ukisemacho ni kweli, huko alikoenda kuolewa mkewe nako mambo yapo hivihiv? nikimaanisha mumewe mpya nae anaginga dozi?
 
tuchukukie hiki ukisemacho ni kweli, huko alikoenda kuolewa mkewe nako mambo yapo hivihiv? nikimaanisha mumewe mpya nae anaginga dozi?
Inawezekana mkuu..
mbona harusi za hivyo zipo nyingi sana ..na zinadumu na wanazaa!
Ukijikubali umeme unadhibitika!
 
Aaaa wapi!
Adui zangu wote wafe wao na kizazi chao milele yote walahi!
Believe me nilifanya hiyo mistake ya kuwapenda na kuwaombea, nilicho ambulia ikawa mbaya zaidi, sasa wafe tu na vizazi vyao milele yote walahi!
That’s all
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
NI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
Malipo ni hapa hapa duniani karma inamsumbua hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…