Ruge Mutahaba anaumwa nini?

Ruge Mutahaba anaumwa nini?

Presha za mikopo mikubwa bank kaka usiombe kuwa meneja wa kampuni kubwa watu zaidi ya 100 wanakutegemea ww uapate faida uwalipe mishahara kwa wakati sio mchezo kabisa sasa utashangaa wananenepa ni wafanyakazi wake ila yy kila kukicha anazidi kuisha kingine ina weza kuwa ni ugonjwa wa kisukali, au ukimwi kwani yule jamaa naskia ni mtu wa totoz sana.
Ananenepa Gea Habibu kijakazi huku Bosi Anazidi kukonda dah Ubosi gharama sana....
 
Ishu ya yule mzazi mwenzake kumbwaga ghafla na kuolewa na mtu mwingine ilimmaliza kabisa... Ile clip aliyokuwa akilia unaweza kuhisi uchungu alipokuwa nao moyoni
Na kwa bahati mbaya sana hakufanikiwa kupata comfort ya kutosha na 90% ya jamii ikamrudi.. Katika hali hiyo hata kama angeugua mafuta yangemuumiza pakubwa
Anahitaji zaidi ya matibabu ya mwili. Nikimaanisha ushauri !!
 
Ishu ya yule mzazi mwenzake kumbwaga ghafla na kuolewa na mtu mwingine ilimmaliza kabisa... Ile clip aliyokuwa akilia unaweza kuhisi uchungu alipokuwa nao moyoni
Na kwa bahati mbaya sana hakufanikiwa kupata comfort ya kutosha na 90% ya jamii ikamrudi.. Katika hali hiyo hata kama angeugua mafuta yangemuumiza pakubwa
Anahitaji zaidi ya matibabu ya mwili. Nikimaanisha ushauri !!
 
Maisha ni mzunguko ambao kila mmoja anaupitia....

Analopitia mwenzako hata wewe siku moja linaweza kukufika....kwa kuwa sote tupo kwenye njia hiyo

Hakuna mwenye kinga ya matatizo duniani bali kuna watu wanaojisahau pindi wanapopitia vipindi vitamu maishani!!!

Fedheha na kejeli kwa mwenzako anayepambana vita yake havifai kwani huko ni kujisahau...


HUWEZI KUJUA KUWA DUNIA INA MAMBO MPAKA LIKUKUTE JAMBO!!!!
Wapi nimemdhihaki mkuu, me nimeuliza kwa njia njema tu kutaka kujua kulikon mtani wangu huyu kadhoofika namna hii?
 
Ishu ya yule mzazi mwenzake kumbwaga ghafla na kuolewa na mtu mwingine ilimmaliza kabisa... Ile clip aliyokuwa akilia unaweza kuhisi uchungu alipokuwa nao moyoni
Na kwa bahati mbaya sana hakufanikiwa kupata comfort ya kutosha na 90% ya jamii ikamrudi.. Katika hali hiyo hata kama angeugua mafuta yangemuumiza pakubwa
Sikuwahi kuiona hyo clip mkuu ila nahisi ni kama ile ilomkuta marehem Amina chifupa ilianza baada ya aliekuwa mmewe kuoa kwa Siri kule kigamboni
 
Kwa nini kuleta mzaha kwenye ugonjwa wa mtu.
Nadhani ilikuwa busara kumpa pole na kumwombea uponyaji
Tusijisahau sana sote ni binadamu Leo kwake kesho kwako
Tuwe waungwana wajameni

Nafikiri Pakawa una hekima ya kutosha. Kuhusu huyo jamaa wa clouds fm hapo juu umeongea suala la msingi. Safi sana
 
Sikuwahi kuiona hyo clip mkuu ila nahisi ni kama ile ilomkuta marehem Amina chifupa ilianza baada ya aliekuwa mmewe kuoa kwa Siri kule kigamboni
Huyo jamaa (mpakanjia) alikua na wanawake wangapi ? Maana kuna uzi humu kua alioa masaa machache kabla ya kufa
 
simjui ruge ni nani lakn humu ndani kuna watu wana akili chafu sna wao kila kitu wanafurahia hata mtu akiwa na matatizo wanafurahi. hivi nyinyi mnaofurahia matatizo ya watu ni binadamu kweli au ni viumbe wa aina gani? bahati yenu sio admin ningekuwa nawapiga block wote wenye tabia za hivi kufanya utani kwenye matatizo
Hao watu ni wafuasi wa ccm ndo wanahizo akili
 
Bossi Ruge in "Vijakazi wa CMG" atakuwa na stress za Mapenzi (yaani Mzazi mwenzako anakuacha solemba kiutani utani tena anaolewa ghafla,anahamia kwenye Mjengo wake_usikute wewe unaishi kota za Kampuni).Kingine kinaweza kuwa Kupambana na Mtu mwenye Nguvu ya kiusalama (eti unashawishi Wamiliki Wasusie habari zake_Mwisho wa siku Ukasalenda where you are(hapa napo unaweza kudhani mipango mibaya imesukwa kwa ajili yako).Mwisho kabisa Kijakazi mmoja aliwahi kuvujisha kuwa Bossi anashida ya Kidney (so ukichanganya na UGUMU WA BIASHARA SIKU HIZI) Lazima utadhoofu tuu hata uwe jebali.
 
Pole sana Ruge. Umefanya makubwa kwenye entertainment industry pengine kuliko kijana yoyote hapa Bongo. Mapungufu kila binadamu anayo hivyo tunapaswa kuangalia Zaidi mazuri.

Nina wasiwasi wachangiaji wengi humu ni watoto wadogo ndio maana wanajadili mambo ya ugonjwa kwa kejeli. Siku mkikutana na ya ulimwengu mtajifunza kuheshimu mtu anapokuwa kwenye wakati mgumu hata kama ni adui yako.
 
Back
Top Bottom