msemakwelitz
Member
- Sep 23, 2016
- 15
- 38
Clouds ikiongozwa na mkurugenzi wao RUGE walisusa kupiga nyimbo za mwanamziki Rubby kama walivyofanya kwa LADY JD kutokana na Rubby kuwagomea kufanya show ya FIESTA kutokana na malipo madogo yanayowanyonya wasanii badala ya kufanya makubaliano wakaamua kumkomoa kwa kutokupiga nyimbo zake lakini leo clouds radio na jana CLOUDS TV wamepiga nyimbo yake na kuionesha ktk TV aliyoimba na yemi alade wa Nigeria ktk Coke studio kutokana na kubanwa na mkataba wao na COCACOLA ...
Viva Rubby na na JAY DEE kwa kujielewa na kuwa na msimamo [emoji1434][emoji1434] wataelewa tu. Wasanii wengine mna kila sababu ya kujielewa na kuwa na msimamo badala ya kupelekwa pelekwa na CLOUDS FM.
Viva Rubby na na JAY DEE kwa kujielewa na kuwa na msimamo [emoji1434][emoji1434] wataelewa tu. Wasanii wengine mna kila sababu ya kujielewa na kuwa na msimamo badala ya kupelekwa pelekwa na CLOUDS FM.