Ruge nini ulichomfanyia Q-chief?

Dah! Majanga hayo kwa kweli, ngada inamaliza taifa hili.
 
mi nashangaa watz wengi tunamlaumu mtu pale mambo yanaenda hovyo. hili ni soko huria. mfumo huu unamruhusu mtu kufanya lolote atakalo ili mradi hujavunja sheria. naudhika kusikia mtoto wa kiume unalalamika mtu flani anakuzibia riziki. wewe kama mmekorofishana na mtu na ana umiliki wa mahali fulani unafikiri atakuachia basi tu coz ni msanii mkali. sijaelewa hilo jamaa la clouds lina nguvu gani lakini Logically speaking, hilo jamaa halina makosa. wakat huu sio ule wa ujamaa wa Nyerere eti tuwe tunashikamana. this is capitalism.. which means 'Me first'... 'I can do whatever the f**k i want'.. kama wewe unapigania maendeleo yako kwa nn ulalamike badala ya ku-get ur a** up and fight!... mfano wa kuigwa: Sugu. ona yuko wapi. alitoa antivirus huku akitafuta njia zake mwenyewe. ona waliobaki wanaegemea mgongo wake wameenda kupiga magoti afu wanamwita msaliti. reference: Eminem-survival
 
Mkiwa peak mnakula unga mkianza kuwa mateja mnamlaumu Ruge.. Tangu lini teja akaweza kuimba na kubwia unga kwa wakati mmoja.

Hata Mimi hili jambo lina nishangaza sana tena sana huyu madawa yame muharibu.kwa hiyo anataka kutuambia Ruge alimtuma ale unga?
 

Muuza sura hiyo ya wema kula unga sijaisikia...halafu diamond anataka kuoa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…