Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
Sauti kwa mbali bado ipo..ajipange anaweza rudi akapata za kubadilishia kofia...ila huyo boss mpya ...mmmh tutasikia mengine sasa hivi....time will tell
Tatizo jingine ni hao mameneja wanawaowachukua yeye kwa sababu kaona tu jamaa ana mkwanja wa kutosha basi anaamua kusainishwa mkataba haulizi hata watafanyaje kazi mtu hata haujui mziki mziki wenyewe jamaa ana mipesa yake ya unga ndo unamfanya kuwa meneja badala ya kukusimamia katika mziki anakutumia tu katika biashara zake unga wasanii waamke sasa ikiwezekana watafute mameneja watakao waajiri wao wenye wawe wanawalipa mshara badala tu ya kutafuta tu mapedeshee wauza unga