Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Jifunze kupokea maoni hata yale usiyoyapenda. Utajifunza mengi.Kila binadam anamapungufu yake na udhaifu wake.. wote mnaomdiss hapa mnamapungufu yenu pia yasiyofaa kuigwa na jamii.. Fateni yale mazuri aliyoyafanya hizo bullshit zingine achaneni nazo
kikubwa alichokua akikifanya ni kuwasaidia vijana kuinuka kiuchumi na kuwapa fikra za kimaendeleo na ndo kilichompa umaarufu. wala maisha yake binafsi hayajawahi mpa umaarufu kwanza hajawahi kuweka hadharani maisha yake binafsi wala mahusiano yake au familia yake au watoto wake alikua hataki kabisa kuvizungumzia kwenye media ni sisi ndo tunataka kuyachimba sana
Mambo ya vijana wa clouds kua sijui mashoga hayo ni maisha yao binafsi na ni uamzi wa mtu au mlitaka aanze kucontrol na maisha yao binafsi na tabia zao? Mbona clouds wapo vijana wengi tu waliooa na wadada walioolewa wanafamilia zao, na wanajiheshimu na boss wao hajaoaa?
Swala la yeye kuoa au kutooa halituusu chochote kwanza haya mambo ya mahusiano ni kitendawili huwezi jua alipitia nini mpaka hajaoa
Maana humu mitandaoni watu wanavyosema kwa uhakika ni muhuni ni muhuni Utafikiri walikua wanamsaidia kushika miguu ya hao madem wanaowataja wakati yeye anapiga pumbu.. vitu ambavyomuhusika hajawai kuviweka wazi lakini kuna watu wanajikuta wajuaaaajiiii! Acheni hizo bana hakuna mwenye uhakika kuhusu mambo yake ya mahusiano!
Sent using Jamii Forums mobile app
Don't take things too personal..
Sent using Jamii Forums mobile app