Rugemalila aitaka Benki Kuu iwataje watu wote waliopata mgawo wa Escrow. Gavana asita, aomba ruhusa ya Mahakama awataje

Tatizo la inchi za Africa Ni KATIBA.

Vp nchi kama Rwnda, Burundi etc ambazo zinabadilisha katiba kukidhi matakwa ya wachache? Kama una katiba nzuri, itakufaa nini kama itabadilishwa kukidhi matakwa ya wachache?

Me nadhani tatizo la nchi za Africa ni Waafrika wenyewe
 
Vp nchi kama Rwnda, Burundi etc ambazo zinabadilisha katiba kukidhi matakwa ya wachache? Kama una katiba nzuri, itakufaa nini kama itabadilishwa kukidhi matakwa ya wachache?

Me nadhani tatizo la nchi za Africa ni Waafrika wenyewe

KATIBA ikiwa poa ata raisi/mahakama/bunge lazima ziwe na woga.
 
Umuofia kwenyu,

Sote tunajua sakata zima la Tegeta Escrow, wizi Wa mabilion yaliyofanywa na IPTL na PAP ambayo yaliumiza wananchi sana kuona rais mstaafu akibabaika sana pale Karimjee mbele ya wazee kushindwa kutaja kama Pesa ni za wananchi au ni za wale waliozichota kwa usiri mkubwa pale Stanbic Kinondoni.

Wiki iliyopita tumemwona Rugemalira akiiomba mahakama kuilazimisha BoT kuwataja waliochota pesa kwa usiri ambao hata Rais Mstaafu hawajui. Ni jambo la kijasiri sana la Rugemalira kuondoa uwoga kwamba anaweza kuangamizwa huko aliko, lakini kwa kuwa yupo mikono salama basi serikali itende haki kwa kuwataja watu hawa hata wasipochukuliwa hatua Watanzania kwa ujinga wetu tutawaacha tu kama tulivyowaacha wa Rada.

Pengine mtuumiwa mwenzake, Sigh Binder naye hawajui kwani huenda alijawa na mihemuko ya kuchota pesa kwa masandarusi hivyo kwa kuwataja hawa kunaweza kumsaidia kuwa jua hili wasaidie kuzirudisha kama ilivyo sera yetu ya sasa ya kutapika pesa za umma ilivyo.

Serikali kupitia BoT, kama lengo lenu ni kurudisha kilichochotwa basi msaidieni huyu manager wa PAP atapike hizi pesa na wenzake ili tununue nguzo na nyaya angalau tufaidi umeme. Tutapunguza machungu ya IPTL iliyotuingiza.

Seth na Ruge ni marafiki maadui wanaoishi gerezani kwa kesi moja, Rugememalila anadai kuguwa pesa zake kihalali na account yake ya Mkombozi inasomeka vizuri kwa wanufaika. Walionufaika walitenguliwa na Rais Mstaafu asiyejua kama Pesa zilikuwa zake kisahihi. Wanufaika wakina Chenge na Ngereja wapo Bungeni wanaongezewa vyeo tu. Hapo serikali kuwa transparent maana yake nini? Au nalo hili litapita kama litavyopita la Kangi Lugola.

 
Keep it up a prisoner lawyer you will win this case with flying colours!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…