thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Mungu ampiganie huyu Mzee,ila naona sasa draft limeanza kunoga,wahuni wasije fanya yao ili watu wasipigwe supa!!
Haiwezekani Gavana wa BOT apate kigugumizi cha kuwataja waliopata mgawo wa Escrow ili hali wanajulikana na wananchi tunawajua halafu pale Yupo mahakani kwa hiyo kuwataja sio kosa..na wala hakuwaingizi hatiani....Je GAVANA HAJUI WALIOHUSIKA AMA NI UHUNI INA MAANA AMESHINDWA KUMTAJA HATA NGELEJA NA PROF ANNA NTIBAIJUKA...WALIOPEWA MKIMGAO KIDOGO...
Haitakiwi KuumaKwahiyo wa miaka 2 hatakiwi kulalamika kisa kuna wa miaka 7 upelelezi haujakamilika?
Spika ajaye!
Kwa sheria zetu za kisengerema hawawez kupata chochoteHivi wakionekana hawana hatia watapewa fidia?
Kipimo ni miaka mingapi mpaka iume?Haitakiwi Kuuma
Siri ya muda tu,lakini kuhamisha pesa kuna kumbukumbu nyingi kwa njia nyingi.Kama swala lilikuwa kulinda Vigogo wakati ule,sasa tunajiuliza kwanini Magu awakamate akina Ruge na hali asiwaguse wapokeaji wa fedha zilizojaa viroba?Hao wa kwenye account ndio hawa akina chenge,Tibaijuka,Ngeleja Nk!Sasa kuna wale waliochota mabilioni cash wakabeba kwenye sandarusi kutoka Bank na kutokomea zao!Hawa ndio mpaka leo wamefanywa siri!
Ktk nchi hii kwa sasa mambo yote ni kwa rais. Usitegemee huyo Gavana ataje hao watu kama asiporuhusiwa na rais.Gavana ni mwanasheria anajua taratibu zilivyo,we tulia mahakama iruhusu uone kama anaficha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila zama na kitabu chake bwashee!Ktk nchi hii kwa sasa mambo yote ni kwa rais. Usitegemee huyo Gavana ataje hao watu kama asiporuhusiwa na rais.
Usitegemee kabisa, isingekuwa huyo rais hata akina Ruge wasingekuwa hapo walipo make kwenye awamu iliyopita kwani serikali haikuwepo au mahakama hazikuwepo.
Hapo sasa ndio tunaquestion dhamira ya Rais kupambana na ufisadi!Siri ya muda tu,lakini kuhamisha pesa kuna kumbukumbu nyingi kwa njia nyingi.Kama swala lilikuwa kulinda Vigogo wakati ule,sasa tunajiuliza kwanini Magu awakamate akina Ruge na hali asiwaguse wapokeaji wa fedha zilizojaa viroba?
Jinai haina fidia bwashee!