kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
MkuuHuyu sawa siyo yule Mdude wa Ufipa st!
Punguza wivu ,sio ishu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuHuyu sawa siyo yule Mdude wa Ufipa st!
Nchi iliwasomesha sheria ili muisaidie. Fungueni hata kesi 100.View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
Mtajikanyaga sana mwaka huu! Kwa nini waarabu! Kwa pilato tutaeleza kila kitu!View attachment 2664799
Mwanasheria mkongwe nchini, Dkt. Rugemeleza Nshalla amesema anakusudia kwenda mahakamani pamoja na wadau wengine kupinga dhamira ya Serikali kusaini mkataba kati ya serikali na kampuni ya DP World unaolenga kuboresha Bandari ya Dar es Salaam ambao amedai kuwa umekiuka katiba na sheria mbalimbali za nchi.
Pia soma