Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni utashi wa watawala au imeshinikizwa na masharti ya wakubwa wanaotoa mikopo?

Ruhusa ya mikutano ya hadhara ni utashi wa watawala au imeshinikizwa na masharti ya wakubwa wanaotoa mikopo?

LUS0MYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2011
Posts
866
Reaction score
1,109
Tanzania imefungua ukurasa mpya wa demokrasia kwa kurejesha haki ya wananchi kushiriki mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa.Tunachosubiri kuona ni je kweli kuna utashi wa kisiasa kuruhusu mikutano hii au ni shinikizo la wakubwa?

Maana yake kama ni utashi wetu basi ruhusa hii itatolewa bila kuwekewa kizingiti cha aina yoyote na vyombo vyote vinavyohusika na hasa vya usalama.pia ni wakati muafaka maoni mbadala yawakilishwe bila kutumia fujo,kejeli na matusi na pia watu wasisahau kufanya kazi.

Kurejeshwa kwa mikutano hii kunarudisha nguvu ya umma katika maamuzi ya mambo mbalimbali.
 
Tanzania imefungua ukurasa mpya wa demokrasia kwa kurejesha haki ya wananchi kushiriki mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa.Tunachosubiri kuona ni je kweli kuna utashi wa kisiasa kuruhusu mikutano hii au ni shinikizo la wakubwa?maana yake kama ni utashi wetu basi ruhusa hii itatolewa bila kuwekewa kizingiti cha aina yoyote na vyombo vyote vinavyohusika na hasa vya usalama.pia ni wakati muafaka maoni mbadala yawakilishwe bila kutumia fujo,kejeli na matusi na pia watu wasisahau kufanya kazi. Kurejeshwa kwa mikutano hii kunarudisha nguvu ya umma katika maamuzi ya mambo mbalimbali
Na huenda si kwa sharti hilo tu, tutegemee na masharti mengine pia!
Hapana Chezea mkopo weweeee!
 
Back
Top Bottom