TANZIA Rukia Juma(Mama yake Isha Mashauzi) amefariki dunia

R.I.P rukia....dah na ile ngoma ya mama nipe radhi ni hatari..hasa pale anapoanza ...aaah mwananguuuuu,,,hii ndio duniaaaa...asee
 
Poleni sana Isha msiba mzito sana huo, Mungu akutie nguvu katika kipindi hichi kigumu unachopitia. May God rest her soul in eternal peace
 
Alikuwa na sauti tamu ya kumtoa nyoka pangoni, alale pema
 
Pole kwa Wafiwa na R.I.P Mama Rukia Juma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…