Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
UKichaa utokanao na msongo wa maisha,kama takwimu ile ya kila watu 100 .wasio tegemezi ni 13.Iwapo takwimu hii ni sahihi.Na swali langu ni nani wa kutwishwa mzigo kwa takwimu hizi mbovu?Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Seriously.... Ni hatari sana sana sana.UKichaa utokanao na msongo wa maisha,kama takwimu ile ya kila watu 100 .wasio tegemezi ni 13.Iwapo takwimu hii ni sahihi.Na swali langu ni nani wa kutwishwa mzigo kwa takwimu hizi mbovu?
Inaweza kuwa nauli za kwenda kumwona mahabusu tu,hapo kesi bado kuanza.Sasa anaenda jela, nguruwe wake watu watawakula.....
Hapo ni kumtafuta Sheikh chap apitishe kisu sisi tuleSasa anaenda jela, nguruwe wake watu watawakula.....
🤣🤣🤣🤣🤣Hapo ni kumtafuta Sheikh chap apitishe kisu sisi tule
Halafu kutwa wanawasema wavuta bange,,,,wakati wavuta bange sio watu wa kumaind mambo madogo madogo kama hayoWatu mle bangi kupunguzaa Kasi ya ubongo ukifikiri njee ya uwezo nakufanya akili kulipuka lipukaa Kwa migongano midogo midogo km hii yakumuua mwenza kisa kutolisha mdudu 🤪
Hii Dunia hii tumwombe sana MunguHaya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao
Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao
Hajalisha kitoweo.Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao
Nguruwe amepull trigger tu hao walishatofautiana kitambo.Nguruwe ana thamani kuliko mke kweli?
Hajalisha kitoweo.Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao