Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Kwa huo umri mnaacha watoto wadogo kabisa hawajui hata kutafuta shilingi moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi huyu jamaa na yeye kumchinja mpaka sheikh 😁 au ni vitoweo vingine tu?Hapo ni kumtafuta Sheikh chap apitishe kisu sisi tule
Dah nilisoma vibaya hapo mwishoni.......samwaleko ustaadhatHajalisha kitoweo.
Tatizo la waume kuwapiga wake zao ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani. Kimsingi hili limejulikana kwa sababu tu kifo kimetokeaKweli tatizo la afya ya akili ni kubwa miongoni mwetu.
Kulikuwa na ulazima gani wa kumpiga mkewe, wakati alikuwa na nafasi ya kumwonya wakiwa chumbani??
Kondoo kauwa kwa ajili ya nguruwe.Dah nilisoma vibaya hapo mwishoni.......samwaleko ustaadhat
Nguruwe aheshimiwe.......nyama yake imepewa baraka zoteKondoo kauwa kwa ajili ya nguruwe.
Sahihi kabisa Mkuu, Wanaume tubadirike.Tatizo la waume kuwapiga wake zao ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani. Kimsingi hili limejulikana kwa sababu tu kifo kimetokea
1. Inawezekana kabisa kipigo wala hakikuwa kikubwa bali alitaka tu kumshikisha adabu kwa ''ka-kipigo''
2. Pia inawezekana ikawa hicho kipigo ni mwendelezo wa ugomvi wa kila siku wa hii familia.
My take: Karne ya sasa siyo ya kupigana tena bali kuelekezana kwa mazungumzo na kama hakuna mabadiliko baso achaneni.
Mhh, nguruwe achinjwe msibani??Wawili tayari hapa msibani,....mpaka msiba uishe, wote wameisha,...
Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao
Hii ni zaidi ya bange, mvuta bangi hawezi fanya kitendo hicho.Halafu kutwa wanawasema wavuta bange,,,,wakati wavuta bange sio watu wa kumaind mambo madogo madogo kama hayo
Ni hatari sanaNguruwe ana thamani kuliko mke kweli?
Punguza sauti nduguHivi huyu jamaa na yeye kumchinja mpaka sheikh 😁 au ni vitoweo vingine tu?
Nguruwe ni mali hivi jamani shinda hata ngamia?Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================
Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.
Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao