Rukwa: Mume amuua mke wake kisa hajalisha nguruwe

Rukwa: Mume amuua mke wake kisa hajalisha nguruwe

Kweli tatizo la afya ya akili ni kubwa miongoni mwetu.

Kulikuwa na ulazima gani wa kumpiga mkewe, wakati alikuwa na nafasi ya kumwonya wakiwa chumbani??
Tatizo la waume kuwapiga wake zao ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani. Kimsingi hili limejulikana kwa sababu tu kifo kimetokea
1. Inawezekana kabisa kipigo wala hakikuwa kikubwa bali alitaka tu kumshikisha adabu kwa ''ka-kipigo''
2. Pia inawezekana ikawa hicho kipigo ni mwendelezo wa ugomvi wa kila siku wa hii familia.
My take: Karne ya sasa siyo ya kupigana tena bali kuelekezana kwa mazungumzo na kama hakuna mabadiliko baso achaneni.
 
Wawili tayari hapa msibani,....mpaka msiba uishe, wote wameisha,...
 
Tatizo la waume kuwapiga wake zao ni tatizo kubwa kuliko tunavyodhani. Kimsingi hili limejulikana kwa sababu tu kifo kimetokea
1. Inawezekana kabisa kipigo wala hakikuwa kikubwa bali alitaka tu kumshikisha adabu kwa ''ka-kipigo''
2. Pia inawezekana ikawa hicho kipigo ni mwendelezo wa ugomvi wa kila siku wa hii familia.
My take: Karne ya sasa siyo ya kupigana tena bali kuelekezana kwa mazungumzo na kama hakuna mabadiliko baso achaneni.
Sahihi kabisa Mkuu, Wanaume tubadirike.

Tujaribu kuuishi ule msemo kwamba "Mwanamke hapigwi Kwa fimbo, Bali Kwa upande wa Khanga"

Mazungumzo ndiyo njia pekee inayoweza kuondoa tofauti zetu.

Unaua, kisha unaenda Kufungwa maisha. Hapo utakuwa umepata nini cha Faida??
 
Kinachoniuma zaidi ni hiyo mboga nani atachinja ale au afungue banda la kuuza
 
Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================

Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.

Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao


Huyo Lofa anajua leo Mr. Manguruwe amekaa kwenye yale mabenchi ya mbao kisa kutapeli watu na nguruwe wake?
 
Haya sasa matukio yamezidi ya wanandoa kufanyiana ukatili kila wakati. Tufanyaje kuyapunguza kwa kiasi kikubwa matukio ya wanandoa mh maana inaogopesha sana?
=========================

Mtu mmoja mkazi wa Kijiji cha Msanzi Kata ya Msanzi wilayani Kalambo mkoani Rukwa, Helena Elias Kipeta mwenye umri wa miaka 28, amefariki dunia baada ya kupigwa na mume wake aliyefahamika kwa jina la Paull John Msokwe mwenye umri wa miaka 29 baada ya kushindwa kulisha mifugo aina ya nguruwe.

Soma Pia: Njombe: Mume amuua mke wake kwa madai ya kuchepuka kwenye ndoa yao

Nguruwe ni mali hivi jamani shinda hata ngamia?
 
Back
Top Bottom