JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, ACP Theospita Mallya ameeleza kuwa katika kipindi cha Mwaka 2022 kulikuwa na makosa 88 yaliyoripotiwa kupitia Dawati la Jinsia ya watu kutelekeza familia na watoto
Takwimu za mwaka 2021 zinaonesha mashtaka yalikuwa 87, hivyo kuna ongezeko na sababu kubwa ikitajwa kuwa ni ulevi kupindukia umechangia maamuzi hayo
Amesema “Pia tunaposema kuna mmomonyoko wa maadili ni kama vile suala la kuzaa lilivyo kwasasa, wengi wanaokuja kushtaki kutelekezwa wanasema hawajalipiwa mahari wala hawajaolewa, wanazaa wakiwa hawajuani vizuri matokeo yake wanakimbiwa.”
Chanzo: EATV
Takwimu za mwaka 2021 zinaonesha mashtaka yalikuwa 87, hivyo kuna ongezeko na sababu kubwa ikitajwa kuwa ni ulevi kupindukia umechangia maamuzi hayo
Amesema “Pia tunaposema kuna mmomonyoko wa maadili ni kama vile suala la kuzaa lilivyo kwasasa, wengi wanaokuja kushtaki kutelekezwa wanasema hawajalipiwa mahari wala hawajaolewa, wanazaa wakiwa hawajuani vizuri matokeo yake wanakimbiwa.”
Chanzo: EATV