Rukwa wafanya Bonanza la Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais Samia. Ikiwakutanisha timu ya Suluhu Academy na Dew Drop

Rukwa wafanya Bonanza la Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais Samia. Ikiwakutanisha timu ya Suluhu Academy na Dew Drop

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Leo umechezwa mchezo wa Fainali wa Bonanza la Kumbukizi ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia katika dimba la Nelson Mandela Wilayani Sumbawanga ukizikutanisha timu ya Suluhu Academy kutoka Kizimkazi Zanzibar na Dew Drop kutoka Sumbawanga.

Soma Pia: Wanafunzi wa Rukwa Girls Secondary Schoo washerekea siku ya kuzaliwa Rais Samia! Je hii ni sahihi kulazimisha kuwa sherehe ya taifa?

Mshindi wa mchezo huu atajinyakulia kitita cha shilingi Milioni Moja (1,000,000) na kikombe, mshindi wa pili Laki Saba (700,000).
n.jpeg
nm.jpeg
 
Tuliona mengi ila kipindi hiki yamezidi 😂
 
Back
Top Bottom