Rungu: FIFA yaifungia Biashara United kusajili kwa madirisha miwili

Rungu: FIFA yaifungia Biashara United kusajili kwa madirisha miwili

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu (FIFA) imeifungia klabu ya Biashara United ya Mara kusajili wachezaji kwa madirisha mawili.

Adhabu hiyo imetolewa baada ya Biashara United kushindwa kuheshimu uamuzi wa awali wa FIFA kuifungia kusajili wachezaji hadi itakapokamilisha malipo ya madai ya mshahara ya aliyekuwa mchezaji Timoth Balton Omwenga.

1655910592342.png
 
Ni kama Simba Walivyo fungiwa na kufunguliwa kimyakimya Kwa kushindwa kumlipa kishingo.
 
Back
Top Bottom