Rungu la TCRA lawashukia Wasafi Tv, Clouds FM, Carry Mastory, Radio one na RFA kwa kurusha maudhui yaliyo kinyume na Sheria

Hivi kuna watu bado wanaangalia na kusikiliza tv na radio za kibongo!?
 
Kazi imeanza. Sasa hivi ni vipindi vya kusifu tu na kuabudu ndivyo vinahitajika. We have a long way to go.
Ulikiona hicho kipindi cha WASAFI Online Dr. Mwaka alizungumza? Ulisikiliza kipindi cha jahazi walipokua wakiwashawishi watu kupige punyeto?

Au ndio zile zama za wapinga kila kitu?
 
Sheria ziko pale kufuatwa na sio vingnevyoo..ndomaana ukitaka kujiua hakikisha unakufa ukipona gvt wanakwambia ww ni mali ya gvt na sio vingnevo...jera unaenda kukaa numa ya nondo mkuu
I thought "kukaa nyuma ya nondo" ndio "kuwekwa "jera" ", kumbe kuna "kukaa "jera" nyuma ya nondo" pia! Ndio najua leo hii.
 
Ulikiona hicho kipindi cha WASAFI Online Dr. Mwaka alizungumza? Ulisikiliza kipindi cha jahazi walipokua wakiwashawishi watu kupige punyeto?

Au ndio zile zama za wapinga kila kitu?
Mwambieni Nyerere uchwara aache mizinguo ya kuminya uhuru wa habari.
 
Haya Clouds endeleeni kupiga lile jingle lenu ambalo Nyerere uchwara anakuwa anaongea ongea . Huwa mnapenda kulipiga asubuhi mara nyingi nimeshalisikia nikiwa kwenye daladala. Huwa najiuliza kwa nini mnalipiga sipati jibu. Haya endeleeni nalo.
 
Eleza adhabu iliyotolewa n sawa..??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…