Duh! Huyo mods wa sasa TCRA ni hatariKosa lao ni>>Kamati ya Maudhui ya TCRA imekifungia kipindi cha Jahazi Cha Clouds FM kwa kosa la kurusha maudhui yenye kuchochea kujichua sehemu za siri na ngono. Aidha, Clouds FM imetakiwa kutokujaza muda huo kwa kipindi kingine chenye maudhui sawa na Jahazi
Good idea piaWAWEKE AFRICA BAMBATAAA
Hawajipendi wajaribu waone Kama hawajatumbuliwaTCRA yupo na Musiba mfuatilieni
TCRA sasa imebaki tu kutupangia muda wa kulala na idadi ya mabao kitandani. They are wasting efforts on useless things.TCRA imekifungia kipindi cha Jahazi Cha Clouds FM kwa kosa la kurusha maudhui yenye kuchochea kujichua sehemu za siri na ngono
Hapo umenena mkuuWAWEKE AFRICA BAMBATAAA
Unajua ile ststion inakoelekea akileta undezi pale kuna siku mmoja baada ya mwingne atatfuta njia yake...wamekosa attention kama za zamani..kipindi cha shilawadu kikowapi???walikuwa hawatoi taarfa za wcb lakini siku hizi kila siku wanatoa taarfa za wcb tu..unafiki una mwisho mbaya sana aiseeMbaya zaidi watu wanajua ni ccm ndio imesababisha...
Sheria ziko pale kufuatwa na sio vingnevyoo..ndomaana ukitaka kujiua hakikisha unakufa ukipona gvt wanakwambia ww ni mali ya gvt na sio vingnevo...jera unaenda kukaa numa ya nondo mkuuTCRA sasa imebaki tu kutupangia muda wa kulala na idadi ya mabao kitandani. They are wasting efforts on useless things.
Daaaah inaniuma zaidi nikifikiria mdogo wangu pale TCRA ndiye anayehusika na haya matamko yasiyo na tija yoyote kwa mustakabali wa taifa hili.TCRA sasa imebaki tu kutupangia muda wa kulala na idadi ya mabao kitandani. They are wasting efforts on useless things.
Kwan wakuu wangapi wa mkoa wametunyesha hapa nchi nzima ....ukishakuwa na meno kwenye nchi hii ni ww tu kazi kwakoDaaaah inaniuma zaidi nikifikiria mdogo wangu pale TCRA ndiye anayehusika na haya matamko yasiyo na tija yoyote kwa mustakabali wa taifa hili.
Shabiki tu mkuuKwani Jahazi kina maudhui gani? Mkuu na uhusiano gani na DJ JD maana huwa issue nyingi sana za JD unatujuza hata anavyopiga muziki pale Morocco.
Ujinga tukwan wakuu wangapi wa mkoa wametunyesha hapa nchi nzima ....ukishakuwa na meno kwenye nchi hii ni ww tu kazi kwako
Waswahili wanakwambia anaecheka mwisho anacheka sana na sio vingnevo..ila wale kina dada wa women matters mmhh hawajielewi kiukweli walipe faini tuKazi imeanza... sasa hivi ni vipindi vya kusifu tu na kuabudu ndivyo vinahitajika. We have a long way to go....
wako kama TAASISI FULANI BWANA vile wanachukua dagaa mapapa wanawachaHawajipendi wajaribu waone Kama hawajatumbuliwa
Ndomaana mm nakuwa makini sana kwenye kuongea siku hizi ukishajisahau tu utajikuta central nyuma ya nondo..nyuma ya pazia kuna mtu amekuweka kisa yeye ni Fulani au ana cheo fulaniUjinga tu
Good idea pia