Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
si ndio hawa waliosusa kujiandikisha gentleman?Kama ulidhani Uchaguzi huu ni lelemama, na labda ulitarajia Wagombea wako watapita bila kupingwa kwa vile kuna kitisho cha kutekwa na kuuawa, basi anza kutafakari Upya
Hawa hapa ni Wananchi wa Kata ya Ndato wakiwasindikiza Wagombea wa Chadema kuchukua fomu
View attachment 3137415View attachment 3137416View attachment 3137417View attachment 3137418View attachment 3137419
UJUMBE: FISI HATOACHIWA BUCHA
Noma sana!Maccm yanajamba sasa hivi. Hayajui i hayajui watu wa eneo gani watakisanua
Makumbusho jana ilikuwa 🔥🔥🔥Kama ulidhani Uchaguzi huu ni lelemama, na labda ulitarajia Wagombea wako watapita bila kupingwa kwa vile kuna kitisho cha kutekwa na kuuawa, basi anza kutafakari Upya
Hawa hapa ni Wananchi wa Kata ya Ndato wakiwasindikiza Wagombea wa Chadema kuchukua fomu.
Soma Pia: CHADEMA waanza kuchukua fomu, wasema " Mwaka huu hatutakimbia"
View attachment 3137415View attachment 3137416View attachment 3137417View attachment 3137418View attachment 3137419
UJUMBE: FISI HATOACHIWA BUCHA
Wanagombea halafu wapiga kura wao hawana sifa. Hawakujiandikisha!si ndio hawa waliosusa kujiandikisha gentleman?
Tatizo la chadema ni kuwa na wanachama kama wewe, chadema wameshindwa kuweka wagombea nchi nzima, unalijua ilo?Maccm yanajamba sasa hivi. Hayajui i hayajui watu wa eneo gani watakisanua
Waliojiandikisha ni wako?Wanagombea halafu wapiga kura wao hawana sifa. Hawakujiandikisha!
Wanapitaje hapo sasa?
Aliyekudanganya nani?tatizo la chadema ni kuwa na wanachama kama wewe, chadema wameshindwa kuweka wagombea nchi nzima, unalijua ilo?
ni vichekesho vya ajabu sana aiseWanagombea halafu wapiga kura wao hawana sifa. Hawakujiandikisha!
Wanapitaje hapo sasa?
Tumewadhibiti vibaya mno!Ngoja waje wazee wa Mapambio 😃
Wanachelewa unadhan mkuu! Wao habari njema za upande wa pili ni pilipiliTumewadhibiti vibaya mno!
Bila shaka ni wetu.Waliojiandikisha ni wako?
Maccm ni mafisadi sana na wakora wakubwa sana!Maccm yanajamba sasa hivi. Hayajui i hayajui watu wa eneo gani watakisanua