Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 1,081
- 1,958
Tatizo muda, sina muda kabisaanzisha uzi wa hili somo ,udadavue
Mbaya zaidi hizo ni biashara za watu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo muda, sina muda kabisaanzisha uzi wa hili somo ,udadavue
This is very true, na inasikitisha sana ni kama kuna madawa wanapewa sjuiHasa wanawake, wakiingia huko atamuheshimu mchungaji kuliko mume wake.
najua biashara za watu ndio ,hata wewe unajiita miti 7 na sio jina halisi ,tafuta muda usaidie wengiTatizo muda, sina muda kabisa
Mbaya zaidi hizo ni biashara za watu
Pekua vizuri hii jf hakuna ambacho hakijaandikwanajua biashara za watu ndio ,hata wewe unajiita miti 7 na sio jina halisi ,tafuta muda usaidie wengi
Halafu wakifa unafurahi na kukenua hadi jino la 32 na kusema sasa wako kwa Mungu! Hui ni uuaji kabisa.Hawa wachungaji vilaza kweli
Unawakataza watu wasitumie dozi
Wakati wao wenyewe hawana tiba mbadala
Huyo mchungaji kilaza ashikishwe adabu tu
Ova
Na wewe ndo wale waleWanyakyusa kwenye vipaji vyao[emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahHalafu wakifa unafurahi na kukenua hadi jino la 32 na kusema sasa wako kwa Mungu! Hui ni uuaji kabisa.
Utasikia, " Leo tuna zamu ya kumsaidia Mama Mchungaji". Mke uoe wewe halafu akafanye kazi ya kumpikia Mchungaji? Ndoa nyingi zinapata msukosuko na mipasuko hasa kwa jinsi kinamana wanavyowaheshimu sana hao jamaa kupita hata waume zao.Hasa wanawake, wakiingia huko atamuheshimu mchungaji kuliko mume wake.
Kabisa mkuu, yaani mtu anayesema anataka kuoa mlokole huwa namshangaa sanaUtasikia, " Leo tuna zamu ya kumsaidia Mama Mchungaji". Mke uoe wewe halafu akafanye kazi ya kumpikia Mchungaji? Ndoa nyingi zinapata msukosuko na mipasuko hasa kwa jinsi kinamana wanavyowaheshimu sana hao jamaa kupita hata waume zao.
Yaani ARV's unazilinganisha na fegi!ARV ni kama sigara kwenye damu
Huwezi kumuambia mtu ametumia ARV kwa miaka mitano aache tu ghafla, lazima atateteleka kiafya
Anatakiwa aache pole pole mpaka mwili uzoee siyo ghafla tu acha
Mbaya zaidi hakuna aliyewahi kuzipinga hizo ARV na akabaki salama popote duniani
Ulishasikia "maungamo ya hiari" yanasotesha mtu jela?serikal imemuacha huru au atatumikia kifungo?
Ila kinachotokea wakati mwingine, mkeo anarubuniwa na kuingia huo mtego wa hao jamaa. Sasa hapo purukushani ndo inapoanzia.Kabisa mkuu, yaani mtu anayesema anataka kuoa mlokole huwa namshangaa sana
Mbona wengi tuKumbe wapo kina Emmanuel wajinga kiasi hiki?
Kwa imani ya kilokole hakuna anayeruhusiwa kuoa au kuolewa na mtu ambaye siyo mlokole!Kabisa mkuu, yaani mtu anayesema anataka kuoa mlokole huwa namshangaa sana
Kwa imani sawa ila uhalisia haiko hivyoKwa imani ya kilokole hakuna anayeruhusiwa kuoa au kuolewa na mtu ambaye siyo mlokole!