Pre GE2025 Rungwe: Sugu aendelea kuiteketeza CCM Kanda ya Nyasa

Pre GE2025 Rungwe: Sugu aendelea kuiteketeza CCM Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Tulionya tangu awali kwamba Chadema ikishaingia mitaani ccm itafute pa kujificha, na hivyo ndivyo inavyotokea.

Leo Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, amefika Tukuyu kwenye eneo maarufu la kibiashara la Kiwira na kuisambaratisha kabisa CCM bila huruma yoyote

Angalia hapa

Screenshot_2024-07-07-21-26-16-1.png
Screenshot_2024-07-07-21-26-27-1.png


Angalizo: Si rahisi kwa Mkutano wa Chama cha kibwege cha siasa kukusanya umati kama huu Kiwira, Hii ni kwa sababu watu wa hapo wako bize mno na biashara zao, sasa ukiona wanaacha mambo yao na kuja kukusikiliza ni lazima ujue wanakuamini mno! CCM wamejaribu mara kadhaa hapa wamechemsha.
 
Tulionya tangu awali kwamba Chadema ikishaingia mitaani ccm itafute pa kujificha, na hivyo ndivyo inavyotokea.

Leo Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, amefika Tukuyu kwenye eneo maarufu la kibiashara la Kiwira na kuisambaratisha kabisa CCM bila huruma yoyote

Angalia hapa

View attachment 3036133View attachment 3036134

Angalizo: Si rahisi kwa Mkutano wa Chama cha kibwege cha siasa kukusanya umati kama huu Kiwira, Hii ni kwa sababu watu wa hapo wako bize mno na biashara zao, sasa ukiona wanaacha mambo yao na kuja kukusikiliza ni lazima ujue wanakuamini mno! CCM wamejaribu mara kadhaa hapa wamechemsha.
hofu yangu ni pale atakapo anza kusambaratishwa na kuteketezwa yeye na chama chake, itakua ni aibu aise 🐒
 
hofu yangu ni pale atakapo anza kusambaratishwa na kuteketezwa yeye na chama chake, itakua ni aibu aise 🐒
Labda waje polisi, leo hii ukiuliza hata Amos Makalla mbunge wa Rungwe ni nani hana majibu
 
Labda waje polisi, leo hii ukiuliza hata Amos Makalla mbunge wa Rungwe ni nani hana majibu
unaelewa kuna aina Fulani ya visingizio havitawasaidia kupunguza moto wa CCM, havitakua na maana wala havitazuia kuwasambaratisha na kuwateketeza kabisa na kuwafutilia mbali kwenye medani ya juu ya siasa za Tanzania hususan kwenye eneo unalojigamba kuliteketeza 🐒
 
Tulionya tangu awali kwamba Chadema ikishaingia mitaani ccm itafute pa kujificha, na hivyo ndivyo inavyotokea.

Leo Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, amefika Tukuyu kwenye eneo maarufu la kibiashara la Kiwira na kuisambaratisha kabisa CCM bila huruma yoyote

Angalia hapa

View attachment 3036133View attachment 3036134

Angalizo: Si rahisi kwa Mkutano wa Chama cha kibwege cha siasa kukusanya umati kama huu Kiwira, Hii ni kwa sababu watu wa hapo wako bize mno na biashara zao, sasa ukiona wanaacha mambo yao na kuja kukusikiliza ni lazima ujue wanakuamini mno! CCM wamejaribu mara kadhaa hapa wamechemsha.
Picha kama ya mwaka 1977 haionekani vizuri imepigwa kimkakati kuhadaa watu!
 
Tukuyu hawajawahi kutuangusha maeneo yote makandana kule chini hospital njia ya kasyeto ibutu masoko ngaseke nenda kule kwa chawa pataya kayuki nk kote ni chadema tupu hakuna ccm
 
unaelewa kuna aina Fulani ya visingizio havitawasaidia kupunguza moto wa CCM, havitakua na maana wala havitazuia kuwasambaratisha na kuwateketeza kabisa na kuwafutilia mbali kwenye medani ya juu ya siasa za Tanzania hususan kwenye eneo unalojigamba kuliteketeza 🐒
Acha ujinga rungwe majimbo yote mawili ni chadema hakuna ccm hapa muulize jakaya mrisho kikwete ndio atakuambia vizuri.
 
Anaiteketeza vipi wakati na yeye ni mwanaCCM mwenzetu ambaye yuko CHADEMA kwa kazi maalum?
 
Acha ujinga rungwe majimbo yote mawili ni chadema hakuna ccm hapa muulize jakaya mrisho kikwete ndio atakuambia vizuri.
unajua ukianza kujibu hoja kwa mihemko unajitambulusha kwamba uko kwenye ukomo wa fikra mbadala wa hoja iliyoelezwa whether ni kukosea, kukubali au kukataa hoja ya msingi 🐒

ukiwa unajiamini, una cha maana cha kujibu, kwanini usiliralax tu na kujibu kwa kujiamini na kujitambua?🐒

mtateketezwa na kusambaratishwa na CCM bila huruma hata kidogo, nakuhakishia 🐒
 
Back
Top Bottom