Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Huna akiliMbona unascreen shot picha za zamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akiliMbona unascreen shot picha za zamani?
Ya 2015 kipindi cha LowasaPicha kama ya mwaka 1977 haionekani vizuri imepigwa kimkakati kuhadaa watu!
Ccm imejaa machawa wa hovyo sana!Acha ujinga rungwe majimbo yote mawili ni chadema hakuna ccm hapa muulize jakaya mrisho kikwete ndio atakuambia vizuri.
Sasa 2015 Sugu alienda huko kama nani, halafu huyo Lowassa yuko wapi hapo?Ya 2015 kipindi cha Lowasa
Katumba kuna idadi ndogo mno ya watu wameunga picha
HahahaaKwa hoja za kuondoa tozo na umasikini au kwa ubwabwa, tisheti na mileha Toka arabuni
HahaaSasa 2015 Sugu alienda huko kama nani, halafu huyo Lowassa yuko wapi hapo?
Hawaamini macho yao, CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuSasa 2015 Sugu alienda huko kama nani, halafu huyo Lowassa yuko wapi hapo?
HahaaHawaamini macho yao, CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Umewashtukia!Ya 2015 kipindi cha Lowasa
Katumba kuna idadi ndogo mno ya watu wameunga picha
Tulia ni mwepesi kuliko pambaAsijiongopee kuwa atamuweza Tulia mbeya
Subiri utaelewaTulia ni mwepesi kuliko pamba
Nione mara ngapi?Subiri utaelewa
Mbona sikuelewi ...mnatumia watu kuwakabili CHADEMA kisiasa..halafu hutaki tuwaongelee hao watu( Upendo na Msigwa!!)???Kwan nani alieufunga moyo wangu na kivipi aufunge gentleman 🤣
naona unazungumzia watu tu 🤣
siku mkianza kusambaratishwa na kuteketezwa ndio mtaaelewa tofauti ya kuzungumzia issues au kuzungumza kuhusu watu 🐒
by the way upinzani kwa ujumla wake uchaguzi mkuu ujao hawawezi kuzidi 5% ya kura zote 🤣
Ngumu kumwelewa huyu kiumbe.Chama chake kinatumia watu majukwaani(Upendo na Msigwa)ili kuwakabili CHADEMA kisiasa na analijua hilo ajabu namwambia huo mkakati ni mfilisi ananilaumu tena eti naongelea watu tu( hao hao wanao watumia)siongelei issues?.Swali lako kwake kwangu ni jibu...sihangaiki naye asilani tena.Umeanza siasa lini? maana tusijekuwa tunabishana na mbumbumbu
ondoa pupa na mihemko,Mbona sikuelewi ...mnatumia watu kuwakabili CHADEMA kisiasa..halafu hutaki tuwaongelee hao watu( Upendo na Msigwa!!)???