Rupia: Hazina ya Mjerumani

Safi sana atilisti namesahau sias kidogo [emoji113][emoji110][emoji122]
 
Asante hii kitu imenifumbua macho kwenye baadhi ya vitu maana nilikua nafikiria pia kuhusu haya mambo.

Kuna Jamaa alichimba na kujaribu kuweka hata vibarua ila akavunjika mkono ndio ikawa hivyo tena akaachana na hiyo habari.
 
Mkuu umenitoa tongotongo merci .nilikuwa nasikia hazina ya mjeruman ila sikuijua kama hivi.

Asante hii kitu imenifumbua macho kwenye baadhi ya vitu maana nilikua nafikiria pia kuhusu haya mambo.

Kuna Jamaa alichimba na kujaribu kuweka hata vibarua ila akavunjika mkono ndio ikawa hivyo tena akaachana na hiyo habari.
Kuna mengi sana kwenye ishu za rupia ya kweli na ya uongo pia ya kuzusha na story za kusadikika pia
Binafsi nimeshafika mpaka kwenye mapango ambayo kwa kuangalia tu bila hata ishu za kishirikina kuna hatari nyingi za wadudu na mimea yenye sumu kama nge tandu nk nk
 
Asante hii kitu imenifumbua macho kwenye baadhi ya vitu maana nilikua nafikiria pia kuhusu haya mambo.

Kuna Jamaa alichimba na kujaribu kuweka hata vibarua ila akavunjika mkono ndio ikawa hivyo tena akaachana na hiyo habari.


Wapi alipojaribu kuchimba...naweza pata coordinate
 
Kuna maeneo mengi watu waliamka asubuhi na kukuta mashimo tu yaliyofukuliwa usiku...ukweli ni upi!? Walipata?walikosa? Haijulikani
Eneo moja pale Mbwewe tulikuta mizoga miwili ya kondoo hirizi tunguli kaniki na zana za kuchimbia
Sijui nini kiliwatokea hao watu lakini inaelekea walitimua mbio. .
Mashimo kama haya yapo sehemu nyingi[emoji116] [emoji116] [emoji116]
 

Kuna jamaazangu fulani watu wa Mbeya walifilisika kwa kuuza kilakitu chao eti wanatafu PASS ya Mjerumani/Muingereza na Mecury. Maelezo yao sikuyaelewa ingawa walinielezea. Ila kiasi kidogo cha Mecury inatumika kusafishia kiasi kikubwa cha dhahabu huko migodini na inagharimu pesa nyingi kwa mujibu wa maelezo yao. Hitimisho walitutia hasara kwa kuwapa pesa za kula na matumizi bila mafanikio. Naomba maelezo ya habari hii kama unaufahamu nayo Jr mshana
 
Umesema kweli na kuna wajerumani wawili walikuwa na. Pikipiki kila mmoja ambazo so za kawaida zinaweza kutembea dunia mzima bila kuchakaa.Walifika mji wa malinyi jirani na mahenge
Wakauliza kijiji Fulani kipo mbali ma malinyi.Kijana mmoja walimkodia pikpiki awapeleke.Baada ya kuwafikisha wakamlipa na kumwambia aende zake.Baada ya siku mbili walipita na kutuaga kuwa wamekosa walichokuwa wanatafuta.Lakini Dalili zilionesha kuwa walipata.
 
Nakumbuka miaka fulani kijiji jirani na chetu kuna vijana walikuwa wanatafuta hiyo mali, walichimba shimo refu sana wakifuata alama zilizowekwa lakini mwisho wa siku mwenzao alikufa kimazingara ndani ya hilo shimo baada ya kukutana na nyoka wa ajabu, hali hiyo ilisababisha wenzake kukimbia
Kwa hapo ndio kuna utata, kuna sehemu nyingi sana mpaka alama zipo lakini tatizo ni mazingara ndio hukwamisha watu kuelewa kilicho ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…