minja mgumu
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 206
- 315
Mkuu umejitahidi kuamisha kama yako nioneshe kwenye ring sensa yake,Ndo ujue má master tunazijua kama haujaamisha sehemu![]()
Mashine yangu ya ukweli! Nachimbua tu! Maisha yanakwenda!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umejitahidi kuamisha kama yako nioneshe kwenye ring sensa yake,Ndo ujue má master tunazijua kama haujaamisha sehemu![]()
Mashine yangu ya ukweli! Nachimbua tu! Maisha yanakwenda!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115]
Hao waliohusika kujenga hiyo madhabahu hawakujua kuna mzigo apo? Au walikibitiwa mapema baada ya kumaliza kaziKuna ukweli kwa hili huku kwetu ushora kuna kanisa walijenga kwa mawe halafu kwenye madhabahu wakaficha mali mwaka juzi walikuja wakasema wanarekebisha wakavunja wakachukua mali zao wakasepa
Uongo tu kaka,hakunaga mambo kama hizo..sahau mkuu,ni kama habari za FreemasonJamani hiii nikweli waliacha mali Tanzania..kuna maeneo mengi ukitembea milimani utakuta vyuma flani vya mviringo vimejazwa udongo wa cement kali.juu kuna maandishi yanaonesha vipimo flani vya umbali kutoka usawa wa alama hiyo ilipo.ninae changia maada hii ninauhakika. Ila cjawahi kuona wamefika na kuchukua mali ila hali hii ipo kabisa.. Nivigum kuamini kwasababu tumechelewa kupata elim lkn habari hii ni yakweli kabisa
Ni kweliNi uongo na uvumi wa waswahili.
Ulinzi kivipi mkuu,analinda nani,jeshi gani?!,ni wapi huko mkuuHizo habari zipo na kweli kuna maeneo nimepata kuyaona yanatia mashaka sana, kuna shule moja nilisoma ile shule imejengwa na wakoloni na tangu waondoke kuna handaki moja limejengwa kwa zege imara na juu limefunikwa ( pia kuna mlima mmoja huko kwetu hadi leo unawekewa ulinzi na kuna mzungu mmoja alikuwa anafanya utafiti sana eneo hilo ni mwanajeshi mstaafu wa nchi moja huko ulaya) hizi habari kuna sehemu naweza kuziamini kwa kile ninachokiona.....kama hujawahi kushuhudia huwezi kupata hoja ya Nguvu kwenye huu uzi
Mlimani hauruhusiwi kufika kabisa na askari polisi muda wote wapo doria kwenye huo mlima ila shuleni hakuna mtu anaelinda.Ulinzi kivipi mkuu,analinda nani,jeshi gani?!,ni wapi huko mkuu
Kwahiyo mkuu hapo pana ulinzi na polisi wanapangiwa zamu tangu enzi za mkoloni?!Mlimani hauruhusiwi kufika kabisa na askari polisi muda wote wapo doria kwenye huo mlima ila shuleni hakuna mtu anaelinda.
Ni kweli mlima una ulinzi na ni ngumu kufika huko....nilielezwa kuwa una mahandaki mle mlimani.....yule mzungu kwa maelezo Amekuja kufata hivyo vitu walivyoacha hao wenzake ila hajatembea hapo tu inasemekana singida pia kafika na maeneo mbalimbali hapa Nchini....na akifika sehemu huanzisha mradi wowote mkubwa wakati anaendelea na uchunguzi wake.....na baadae huiacha hata hiyo miradi pale anapokuwa ametimiza kile alichotaka kufahamu.Kwahiyo mkuu hapo pana ulinzi na polisi wanapangiwa zamu tangu enzi za mkoloni?!
Bro are you serious?!!
Ni wapi huko,mlima unaitwaje?!
Maeneo gani huko kwenu?Hapa kwetu Mara hizo sehemu zipo