Rupia: Hazina ya Mjerumani

Rupia: Hazina ya Mjerumani

Inasemekana avalon kituo Cha mwendokasi wamekula mzigo pipa mbili za red mercury thus walijifanya kufadhili mradi wa barabara ya mwendokasi kupitia kampuni ya ujerumani ya strabags lengo lilikuwa ni zuga jinsi gani watachukua site ya avalon.
Hizi kampuni zao za ujenzi zinajua site zote so ujifanya wanafadhili miradi ya barabara kumbe ni jinsi ya kulamba mizigo.
Wachina nao wakajenga reli ya tazara kwa kufuatisha ramani za site za wajerumani walizofichia Mali wakakomba Mali wakatuachia reli baada ya kuipata ramani ya Mali USA, then USA nao walipoona mchina kala Mali wakaja na mradi wa bomba la mafuta la tazama nao wakapitia humo humo mwambao wa reli ya tazara wakalamba Mali.
Aliyesema nchi hii ni tajiri shida yake anakula pekee yake hauweki huo utajiri kwa wananchi wafaidike nao
 
NADHARIA NA IMANI YA MASANDUKU YA WAJERUMANI

Siku moja nadhani ilikuwa ni April 2020, wazee wawili ambao nafahamiana nao hapa Dodoma mjini waliniambia kuna sehemu inasadikika yapo masanduku yenye mali za Wajerumani, hivyo nione kama nitaweza niambatane nao twende huko kwa mwenyeji wao kwanza atupe maelezo zaidi ikibidi atupeleke eneo yalipo.

Ni Wilaya ya Dodoma mjini maeneo ya Ihumwa sio mbali toka mjini nauli daladala Tsh. 700/=,
Nikaona ngoja niongozane nao kujua kipi kitajiri huko.

Tulifika nyumban kwa huyo mwenyeji wao ni mzee kiasi alitupokea na kuanza kutupa nadharia ya pale ambapo inasadikika kuna hayo masanduku, alisema kuna mlima ambao upo karibu na hapa kwa boda boda ni kama Tsh. 2000/= mkiwa tayari hata sasa niwapeleke.

kwenye huo mlima kuna jiwe refu ambalo juu ya kilele kuna alama inayoonekana ni kama mlango ambao umezibwa kwa cement yaani ni kama mfuniko.
Kufika pale kileleni ndio changamoto (kwa maana ya nyenzo za kupanda na kukufikisha kule juu) kwani kuna watu kama watatu alishawapeleka wakashindwa kupanda na kufikia eneo lile walijaribu kuunganisha ngazi lakini haikufika,

Anasema mlima huo kiasi una maajabu yake kwani kuna wakati mkiwa kule mtasikia mara watu wanapiga ngoma,
(Na maelezo mengine mengi sio rahisi kuandika hapa yote)

Baada ya maelezo hayo wale wazee wangu walisema tumepata picha halisi ilivyo hivyo ngoja turudi tukajipange tutakuja kufanya hiyo kazi.

Baada ya kurudi nyumbani sijaweza kuwa nao karibu kuzungumzia jambo hilo, kwani kwa maelezo ya yule mwenyeji hata hawa wazee nilioenda nao wanaoa sio kazi rahisi, Pia haina uhakika baada ya kufikia kilele kile na kufunua mfuniko kuna nini ndani yake.
[/QUO
NADHARIA NA IMANI YA MASANDUKU YA WAJERUMANI

Siku moja nadhani ilikuwa ni April 2020, wazee wawili ambao nafahamiana nao hapa Dodoma mjini waliniambia kuna sehemu inasadikika yapo masanduku yenye mali za Wajerumani, hivyo nione kama nitaweza niambatane nao twende huko kwa mwenyeji wao kwanza atupe maelezo zaidi ikibidi atupeleke eneo yalipo.

Ni Wilaya ya Dodoma mjini maeneo ya Ihumwa sio mbali toka mjini nauli daladala Tsh. 700/=,
Nikaona ngoja niongozane nao kujua kipi kitajiri huko.

Tulifika nyumban kwa huyo mwenyeji wao ni mzee kiasi alitupokea na kuanza kutupa nadharia ya pale ambapo inasadikika kuna hayo masanduku, alisema kuna mlima ambao upo karibu na hapa kwa boda boda ni kama Tsh. 2000/= mkiwa tayari hata sasa niwapeleke.

kwenye huo mlima kuna jiwe refu ambalo juu ya kilele kuna alama inayoonekana ni kama mlango ambao umezibwa kwa cement yaani ni kama mfuniko.
Kufika pale kileleni ndio changamoto (kwa maana ya nyenzo za kupanda na kukufikisha kule juu) kwani kuna watu kama watatu alishawapeleka wakashindwa kupanda na kufikia eneo lile walijaribu kuunganisha ngazi lakini haikufika,

Anasema mlima huo kiasi una maajabu yake kwani kuna wakati mkiwa kule mtasikia mara watu wanapiga ngoma,
(Na maelezo mengine mengi sio rahisi kuandika hapa yote)

Baada ya maelezo hayo wale wazee wangu walisema tumepata picha halisi ilivyo hivyo ngoja turudi tukajipange tutakuja kufanya hiyo kazi.

Baada ya kurudi nyumbani sijaweza kuwa nao karibu kuzungumzia jambo hilo, kwani kwa maelezo ya yule mwenyeji hata hawa wazee nilioenda nao wanaoa sio kazi rahisi, Pia haina uhakika baada ya kufikia kilele kile na kufunua mfuniko kuna nini ndani yake.
Njoo pm mzee wa masanduku
 
Rungwe mission iliasisiwa na kina nani.Nani Aliyeleta Moravian Mbeya
Nilisema kuhusu madai kuna hazina sokoni Mbeya mjini. Hapakuwa mji wa Mbeya wakati wa Wajerumani. Rungwe iko Tukuyu, iliyokuwa makao makuu ya serikali ya kikoloni.
 
Nilisema kuhusu madai kuna hazina sokoni Mbeya mjini. Hapakuwa mji wa Mbeya wakati wa Wajerumani. Rungwe iko Tukuyu, iliyokuwa makao makuu ya serikali ya kikoloni.
Hazina nyingi hazikuifadhiwa maeneo walikokuwa wanaishi mzee hawakuwa wajinga kiasi hicho mawehifadhi sehemu mbali mbali
 
Mkuu kutokana na uzoefu wangu ktk sekta mbalimbali nianze na hv,kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mambo ya FREEMANSORY au ILLUMINATI na alama zao kishetani utagundua kuwa alama zao nyingi hupenda kuziweka kwenye fedha iwe ya coin au noti mfano mzuri ni USD ambayo ina bundi,fuvu,nyota,piramidi,satanic eye,nk alama zote hizo zinalengo moja kuu nalo ni mazindiko! Na kama ujuavyo mazindiko yote ni moja ya ibada za kishetani ambazo hujumuisha majini,mapepo,mizimu,roho chafu pamoja na kafara hasa kafara ya damu ya binadamu!

Na ukifuatilia kwa umakini utagundua hao ma-FREEMANSONS & ILLUMINATI wana origin ya sehem moja nayo ni UJERUMANI ktk jimbo moja linaitwa BAVARIA!

Sasa swala la kujiuliza ni hili ikiwa dunia ya sasa ya sayansi na technology mambo ya mashetani na makafara yapo ktk ela kubwa kama USD na tena kwa kiasi kikubwa SEMBUSE ENZI ZILE ZA GERMANY EMPIRE?.sasa ndio nakuja kwenye Rupia,nikweli ile coin ya rupia inamaajabu flan ambayo yakichanganywa na mazindiko na kafara zingine huwa inaleta kile mtu anakuwa anatake either pesa,cheo au utajiri hii inatokana kuwa ela ya rupia ilipata zindiko la damu ya binadamu wkt wa utengenezaji inasadikiwa madin yaliyotumika kuitengeneza yalikuwa yakichanganywa na damu za binadam thats y wajeruman wkt wanaondoka walizificha hzi ela sehem mbalimbali za tanzania hasa ktk maboma,makanisa(moravian),mito,visima na mashimo marefu.

sehem nyingi hupatikana mkoa wa mbeya,iringa na swanga! Na wajeruman waliweka alama kibao hasa katika magome ya miti mikubwa na mawe na huwa wanakuja kuchukua hizo rupia + madini mengine waliyoyaifadhi baadhi ya sehem zilikofichwa madini haya kwa mkoa wa mby ni hizi hapa,
1.Wilaya ya chunya-makongorosi-kijiji cha ujerumani(hapo panamgodi wa dhahabu wa zaman wa mjerumani ni DEEP GOLD MINE)kunamashimo makubwa ma4 nimakubwa sana!, 2.Sehem zote zilizojengwa hospitali za mission za moravian hasa na mjerumani flan ambaye kwa sasa ni marehemu ila watoto wake wanaendeleza game anaitwa LENHNER(LENA) hospitali ya mbalizi,IFISI SONGWE NA MATEMA BEACH!
Kama kuna mtu mpaka leo ana fikra hizi anasikitisha
 
Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM
Graduate unawaza mafreemason
 
Kuna elimu kubwa sana kulizidi hako kaelimu kako unakokaita "GRADUATE" ambayo wewe huijui
Wapi nimekutajia elimu yangu?

Hata ungekuwa profesa bado inaonekana unawaza kishamba/kijinga

Msomi unafikiria eti mafreemason, sijui pesa zilichinjiwa damu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wapi nimekutajia elimu yangu?

Hata ungekuwa profesa bado inaonekana unawaza kishamba/kijinga

Msomi unafikiria eti mafreemason, sijui pesa zilichinjiwa damu[emoji28][emoji28][emoji28]
Mambo hayo yapo na yanafanya kazi na sio lazima wewe uamini hilo
 
Kanisa la mbozi mission na hospital yake
3.Sehem nyingine ni lilipokuwa soko kuu la mbeya pale mbele ya benki ya NMB mbalizi road ambalo liliungua na linatarajiwa kujengwa soon,guess mkandarasi aliyeshinda tenda ya kujenga pale ni kutoka inchi gani? Makampuni makubwa ma5 yaliomba ,moja la israeli,jingine la austaria,jingine la ujerumani na mengine ya wachina! Wajeruman wameshinda tenda wataanza ujenzi any time baada ya bunge hili la bajeti i guess.
3.Sehem nyingine utashangaa pale wajerumani walipokwenda kujenga matenki makubwa ya mradi wa maji ambao wameudhamini wenyewe kwa karibu 90% na waliutoa maalumu kwa mkoa wa mbeya tu! Ambao hauna shida sana ya maji ukilinganisha na mikoa ya kati na kusini mwa tz! Mradi huo utamaliza tatizo la maji mby kwa miaka 20! Ijayo imean hadi 2032! PALE UYOLE WALIPOJENGA HAYO MATENKI YAO YA MAJI PALIKUWA NA MASANDUKU YAO!
MRADI HUU AWAMU YA KWANZA IMEKAMILIKA NA JK KAUZINDUA WIKI HII HII KAMA SIKOSEI!
Awamu ya pili ya huu mradi ni kupeleka bomba la maji hadi tunduma umbali wa km 103! Ili wapitie na sehem zingine !
4. LAKE NGOSI TUKUYU MBY!
Zipo sehem kibao nikianza kuwatajia hapa sitazimaliza so tukirudi kwenye mada nikwamba kweli rupia ya mjerumani inamambo tatizo ni namna ya kuipata coz sehem zote ilizofichwa wajerumani walikuwa wanafanya makafara ya watu kuanzia 10 na kuendelea ambao hubaki hapo kama majini kulinda ila wao wanavyokuwa wanakuja kuchukua huwa kuna maneno flani huyatamka na hayo madudu hutambua mwenye mali kaja either mtoto au mjukuu wake! So huwa hayasumbua tofaut na mswahl ukienda pale na hii ki2 ikapelekea wengi kwenda kwa waganga ambako hupewa masharti ya kutafuta viungo vya binadamu hasa albino!
Nadhan mkuu umenielewa kama unamaswali zaidi ni pm namba yako ntakujuza zaid
source: mimi mwenyewe ninafanya kazi za uchimbaji madini hasa dhahabu nipo matundas chunya na pia ni graduate ktk fani ya mining enggrng UDSM

Nikimuona mtu anaamini haya mambo huwa namuona kama anakasoro fulani kwenye ubongo wake
Yaani ukianza kuambiwa sababu za hao wajerumani kuamua kufucha hizo mali unabaki kujiuliza inakuaje mtu mzima na akili zako timamu unaamini huo UTOPOLO?

Baba mkwe wangu tena maomi wa haja alistaafu akapewa mafao yake kama milioni 800
Ghafla akaanza kuambatana na hawa matapeli eti kuna mali za wajerumani.... akaanza kutumia hela kuyachimba ikiwemo kuagiza hadi mtaalamu wa kimizimu kutoka Congo, matambiko nk
Mwisho wa siku hakuona hata dini moja, huwezi amini anapanda daladala kauza nyumba magari mashamba nk

Binafsi tulipo pata tu taarifa anaanza nilienda kumsihi hadi nikampigia magoti asijiusishe huo ni utapeli
Mwanae akalia machozi siku tatu lakini mzee akatujibu tulieni nyie ntapiga hela mitawapatia na umasikini wenu sasa basi
Sasa hivi tukikutana hataki kuongea chochote
 
Wakuu hivi ni kweli hizi pesa za kijerumani zipo? Je kuna mtu yeyote anaushuhuda kuwa katajirika kupitia hizi hazina za kijerumani ?
 
Wakuu hivi ni kweli hizi pesa za kijerumani zipo? Je kuna mtu yeyote anaushuhuda kuwa katajirika kupitia hizi hazina za kijerumani ?
Jamani hii imani kweli ipo? Hakuna ukweli wowote. Wajerumani wangepata utajiri wapi??? Koloni ya Afrika ya Mashariki ilikuwa mradi uliohitaji pesa kutoka Ujerumani kwa kulipa mishahara ya watumishi na askari na kwa ajili ya ujenzi wa reli na kadhalika, haikuwa mradi uliozalisha utajiri.

Mfano wa pekee ninaojua ni sanduku la visenti vya Heller lililozamishwa kwenye ziwa la Masoko-Tukuyu. Lakini visenti hivyo havina thamani.

Lakini ni dhahiri watu wanapenda kutapeliwa na kuamini mambo ya freemasons, hazina zilizofichwa na kadhalika. (Pia wako wachache wanaopenda kujikimu kwa kuwatapeli wengine)
 
Jamani hii imani kweli ipo? Hakuna ukweli wowote. Wajerumani wangepata utajiri wapi??? Koloni ya Afrika ya Mashariki ilikuwa mradi uliohitaji pesa kutoka Ujerumani kwa kulipa mishahara ya watumishi na askari na kwa ajili ya ujenzi wa reli na kadhalika, haikuwa mradi uliozalisha utajiri.

Mfano wa pekee ninaojua ni sanduku la visenti vya Heller lililozamishwa kwenye ziwa la Masoko-Tukuyu. Lakini visenti hivyo havina thamani.

Lakini ni dhahiri watu wanapenda kutapeliwa na kuamini mambo ya freemasons, hazina zilizofichwa na kadhalika. (Pia wako wachache wanaopenda kujikimu kwa kuwatapeli wengine)
Asante kwa majibu
 
Jamani hii imani kweli ipo? Hakuna ukweli wowote. Wajerumani wangepata utajiri wapi??? Koloni ya Afrika ya Mashariki ilikuwa mradi uliohitaji pesa kutoka Ujerumani kwa kulipa mishahara ya watumishi na askari na kwa ajili ya ujenzi wa reli na kadhalika, haikuwa mradi uliozalisha utajiri.

Mfano wa pekee ninaojua ni sanduku la visenti vya Heller lililozamishwa kwenye ziwa la Masoko-Tukuyu. Lakini visenti hivyo havina thamani.

Lakini ni dhahiri watu wanapenda kutapeliwa na kuamini mambo ya freemasons, hazina zilizofichwa na kadhalika. (Pia wako wachache wanaopenda kujikimu kwa kuwatapeli wengine)
Mkuu naomba nikuulize, nimeona unapenda sana kutaja freemason kwenye comments zako, wewe kwa uelewa wako unaelewa nini kuhusu freemason?
 
Mkuu naomba nikuulize, nimeona unapenda sana kutaja freemason kwenye comments zako, wewe kwa uelewa wako unaelewa nini kuhusu freemason?
Sidhani kwamba ninapenda kutaja Freemasons. Ninavyosikia ni kundi kama klabu inayofanana na makundi mengine kama vile Lions Club, Rotary na kadhalika ambako watu wenye pesa (au wanaopenda kujitazama kama watu wenye umuhimu fulani) wanakutana. Tabia ya pekee ya Freemasons ni walianza miaka 300 iliyopita, tena kwa kuunda masimulizi eti wametokana na jumuiya za wajenzi wa karne zilizopita wakitunga desturi za ajabu kidogo na kujaribu kuficha sehemu za desturi hizo . Ambayo mimi naona ni tabia za kitoto kiasi....
Pia najua wako watu wanaosimulia hadithi za njama juu ya Freemasons ambazo ni kitoto zaidi kuliko hao wenyewe ...
 
  • Thanks
Reactions: T11
Sidhani kwamba ninapenda kutaja Freemasons. Ninavyosikia ni kundi kama klabu inayofanana na makundi mengine kama vile Lions Club, Rotary na kadhalika ambako watu wenye pesa (au wanaopenda kujitazama kama watu wenye umuhimu fulani) wanakutana. Tabia ya pekee ya Freemasons ni walianza miaka 300 iliyopita, tena kwa kuunda masimulizi eti wametokana na jumuiya za wajenzi wa karne zilizopita wakitunga desturi za ajabu kidogo na kujaribu kuficha sehemu za desturi hizo . Ambayo mimi naona ni tabia za kitoto kiasi....
Pia najua wako watu wanaosimulia hadithi za njama juu ya Freemasons ambazo ni kitoto zaidi kuliko hao wenyewe ...
Nimesema unapenda kuitaja freemason kwakuwa nimeona kwenye comments zako kadhaa ukihusisha freemason na hii issue ya Mali za mjerumani, kuwa wanaoamini freemason wako sawa na wanaoamini issue za rupia, anyway point yangu ni kwamba freemason sio kitu cha kusadikika maana wanajulikana na wapo, ila ukisema hizi mambo za Mali za mjerumani ni fix unaweza kueleweka maana ni ngumu kukutana na mtu aliepata hizo hela za mjerumani
 
Hazina za wajerumani walizoziacha hapa Tanganyika ni nyingi na laiti kama tungekuwa na mkataba wa ukweli baina ya nchi hizi mbili tungeweza kuwa na uchumi ambao unatingisha Duniani !
Mimi nimeshajishughulisha sana na hizi habari na wala sitaacha mpaka na mimi nizitie mikononi kwani kuna Mjerumani mmoja nimeshapanga naye dili akija tu nampeleka saiti kwangu maana viongozi wengi wa nchi hii wamefaidika sana na mambo haya !
Viongozi woote (Rais) kasoro Mwl Nyerere wamefaidika na game hii
Kuna jumla ya saiti 5,264 na hizi ni zile kubwa kubwa ! Nyingi zipo kwenye himaya ya Makanisa ( makanisa mengi sana hasa ya Roma yamekalia hazina hii ) juu ni bosheni tu, Nyumba za wakuu wa Wilaya na baadhi ya ngome za serikali ya wajerumani ya zamani na mkoa unaoongoza kwa kuhifadhi hazina hizi ( maghala )ni Pwani, Morogoro na Tanga
Mfano 1: Nyumba anayoishi Mzee Mkapa pale Lushoto chini yake imekalia hazina kubwa sana ya Kijerumani.Lushoto kuna tambulika kama Germany ndogo ndani ya Tanganyika maana huko ni kama wamezimwaga hasa mitaa ya Chuo cha Mahakama yaani chini ya chuo kile kupo wazi na mashelfu ya mizigo

2: Ukiwa kisarawe- Pwani kuna underground turnel mpaka Bandarini ambako gari hasa kama ukubwa wa Fuso linaweza kupita pasi na shaka yoyote na kuna alama nyingi sana kando kando ya Reli ya kati kutoka Stesheni mpaka Kisarawe na kuendelea

3:Mnada wa Gongo la mboto nako pale chini ni hazina kubwa sana na mlango ulipo napafahamu

4: Ukiwa pale Magogoni feri yaani Magereza kuna baadhi ya milango underground haifunguliwi maana ni njia ya kutokea Kisarawe

To be cont
Enzi za kutokuwa na sheria ya mitandao watu walikuwa wanafunguka sana

Kama kweli vile
 
Gramu 1 ya original red mercury ambayo imehifadhiwa vyema ni zaidi ya Bil 12. Hata kama imepungua nguvu kwa maana ya mionzi yake bado inauzika na utapata bei safi tu. Pm me kwa details
Itakuwa watu wamelizana sana humu
 
Troojan katika vitu ambavyo wajerumani walivifanya viwe complicated ni kwenye kuficha hizi mali zao,ukiona hizo sites zao unaweza ukadhani zipo simple sana kuchukua but kuna mitego mingi sana imewekwa na watu wengi sana wamepoteza maisha katika kuchukua hizo mali zao never estimate sehem walizoficha huwaga zinakuwa na only one way in/out ukipitia sehem nyingine kuna mitego kama sumu,mabomu,maji, carbonmonoxide na kamati za ufundi na wao ndio wanajua njia salama za kupitia ndiomaana wanachukua kirahisi
Bomu limewekwa mwaka 1900's huko linaweza kulipuka leo? Uzi ulijaa fix huu au sababu ya nyakati ulizoandikwa
 
Back
Top Bottom