Rusha roho ni Kero mitaani

Rusha roho ni Kero mitaani

huwa nakasirika wenye sauti nzito maarufu kama washereheshaji.................yaani wakati taarabu inaendelea yeye nakuwa anasema maneno maneno mara amtaje Mama Filani.................aghghhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!

tena siku hizi ndo kama fasheni kuna huyo wanamwita cjui msaga sumu anaharibu sana nyimbo za watu
 
Mkuu sio uswahilini tu. pale mtaa wa kenya kinyama jamaa alifunga mtaa kwa maspika ya nguvu na watoto wanguvu waliletwa kucheza. mi huwa nakaa pembeni kwa nyuma naangalia wanavyokata mauno, hadi raha. halafu j2 pale masaki maeneo ya chole road kama unaenda barabara ya barrick karibu na ofisi za ccm kulikuwa na mziki wa kufa mtu kuuliza nini eti sijui wanapongezana. masebene dar yanapigwa kila sehemu. tofauti ni kwamba uswahili wanafunga mtaa, uzunguni wanafunga juu ya maghorofa. Mia

kumbe na huko uzunguni kuna hizo kero...........serikali inabidi ipitie kwa upya suala hili.......it causes nuisance
 
ufukweni napatamani ila hela ndo tatizo...........am so bored with such kind of life! Natamani rusha roho mtaani zipigwe marufuku!!!!!!


unaishi uswazi ipi?
sisi wabongo na tabia zetu za kikw....le hizo.
Mtu shurti afunge mtaa ili aweke heshma.....lol

mimi niliwanyamazisha.......japo wana chuki na mimi sasa!
 
unaishi uswazi ipi?
sisi wabongo na tabia zetu za kikw....le hizo.
Mtu shurti afunge mtaa ili aweke heshma.....lol

mimi niliwanyamazisha.......japo wana chuki na mimi sasa!

Uliwanyamazishaje? hebu tupe na sisi hiyo siri ya urembo....
 
unaishi uswazi ipi?
sisi wabongo na tabia zetu za kikw....le hizo.
Mtu shurti afunge mtaa ili aweke heshma.....lol

mimi niliwanyamazisha.......japo wana chuki na mimi sasa!

nipatie hiyo technique yako ya kuwanyamazisha wananikera hasaaaaaaa!
 
Mimi ni mkazi we maeneo ya uswahilini, yaani huku kwetu ni kelele tupu usiku kuanzia ijumaa mpaka juma pili !! ni kelele za miziki maarufu kama rusha roho!!!

Kinachoshangaza huwa wanapiga hiyo miziki usiku kucha afu wanaizima asubuhi.........what sorts of a fallacy!!!!!????
:angry:

dawa ya moto ni moto. tit for tat, wadhungu wanasemaga!

nunua king'ora (honi) cha train, weka juu ya nyumba yako, unganisha kwenye grid kwa kutumia appropriate adaptor (inverter).
wakipiga rusha roho yao, unganisha king'ora chako. ngoma droo, au vp?
mwenye kukerwa na mwenziwe atatafuta suluhu....
it works, trust me!
 
Ni kweli jamani, niliwahi lala maeneo ya Chang'ombe wikiend nilijuta,ni kelele tupu.
 
dawa ya moto ni moto. tit for tat, wadhungu wanasemaga!

nunua king'ora (honi) cha train, weka juu ya nyumba yako, unganisha kwenye grid kwa kutumia appropriate adaptor (inverter).
wakipiga rusha roho yao, unganisha king'ora chako. ngoma droo, au vp?
mwenye kukerwa na mwenziwe atatafuta suluhu....
it works, trust me!

theheheteh.........username yako na ushauri wako vinarandana :lol::lol::lol:
 
Hawana lolote
ni njia ya kutafta
wanaume
ukichunguza sana hivi
sijui vigodoro hamna kitu ni uzinzi tu.
Kama vile mikusanyiko
ya mbio za mwenge
 
Ya wazazi wangu hayakuhusu.

ya wazazi wako yananihusu sana haswa kwa kukurithisha 'vinasaba' na tabia kutoka kwao..nyie watu ambao mimba zenu zilipatikana kwenye mikesha ya michiriku ni tatizo kweri.
 
Back
Top Bottom