Mfichua maovutz
Member
- Oct 3, 2022
- 5
- 3
Hatari! Hatari! Hatari!
Ndugu zangu Watanzania mtuombee tufike salama Mwanza muda huu tunaelekea Nzega
Gari nililopanda nikitokea Dar limejaza abiria balaa wengine wamesimama, wengine wamepanda kwenye daladala hili kukwepa traffic wa hapo mbele kisha watarudi kwenye BUS kuendelea kujazwa.
Traffic wa barabarani wameona hali hii ila wameruhusu gari iendelee baada ya kutoa hela ya kiwi.
Ndugu zangu hawa abiria waliosimama wote hawajafunga mkanda, gari liko spidi balaa.
Mwenye huruma na hizi roho tafadhali tunaomba MSAADA
gari ni ZUBE TRANS namb T 966 DEE
Mwanza- Dar
Ndugu zangu Watanzania mtuombee tufike salama Mwanza muda huu tunaelekea Nzega
Gari nililopanda nikitokea Dar limejaza abiria balaa wengine wamesimama, wengine wamepanda kwenye daladala hili kukwepa traffic wa hapo mbele kisha watarudi kwenye BUS kuendelea kujazwa.
Traffic wa barabarani wameona hali hii ila wameruhusu gari iendelee baada ya kutoa hela ya kiwi.
Ndugu zangu hawa abiria waliosimama wote hawajafunga mkanda, gari liko spidi balaa.
Mwenye huruma na hizi roho tafadhali tunaomba MSAADA
gari ni ZUBE TRANS namb T 966 DEE
Mwanza- Dar