Rushwa Dawasa/Ubungo

Rushwa Dawasa/Ubungo

chimbondi

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2013
Posts
393
Reaction score
68
Uongozi wa Dawasa Ubungo mnachowafanyia wananchi wa Mbezi Tabata /Msumi ingekuwa enzi za mzee John pombe ni uhujumu uchumi

Kwa nini mnataka muwaunganishie wananchi maji kwa 150,000?

Kwani ninyi hamlipwi mshahara? Au ndiyo mnavyotumwa na wapizani kuwaudhi wananchi mnafikiri mtafanikiwa?

Acheni hizo tabia kachukueni mabomba pale kwa Dimoso yafukieni watu wapate maji jamani
 
Back
Top Bottom