Rushwa imeifikisha pabaya TAMISEMI. Je, hawa viongozi wanaoiongoza wanapaswa kuwepo hapo?

Rushwa imeifikisha pabaya TAMISEMI. Je, hawa viongozi wanaoiongoza wanapaswa kuwepo hapo?

Aliyoyasema OTTER ni kweli, ndiyo yalikuwa maelekezo ya wakurugenzi kwa wakuu wa shule na waratibu elimu kata. Hii ilitolewa mwezi wa 8 mwishoni wiki chache kabla ya kutangazwa ajira mpya
Mkuu tuwekee hapa jukwaani tafadhali.
 
Mi naona TAMISEMI wameajiri kulingana na mwombaji sasa hiyo habari ya vyeti na nini na nini mwajiriwa angetakiwa kuwa navyo pindi atakaporipoti wilaya ama manispaa alikopangwa,sasa kama kutakuwa na udanganyifu,ama cheti hakijakidhi asingeruhusiwa kujaza mikataba ya ajira.Waombaji wa aina hiyo ni watafutaji maana nao walikuwa wanajaribu bahati yao,mtaani kugumu jamani.
 
Back
Top Bottom