Rushwa kwa marefa, TFF mpo wapi?

Rushwa kwa marefa, TFF mpo wapi?

Rushwa tunaona kwenye hii ya singida na simba . Inaenda kushusha adhi ya ligi yetu . Refa asipochukuliwa amna maana ya kuwa ligi bora.

Shameful shameful shameful, tunaomba huyu refa achunguzwe rushwa . Ligi inakuwq kama ligi ya kenya . Fifa wataishusha .

Yellow card
Simba 0 singida 7

Refa anahistoria ya kufungiwa katoka kifungoni recently

TFF PIA WAKO CORRUPT . Change in needed , tusipo ona changes nakusanya watu tuandike email fifa with evidence of corruption


View attachment 2713914
Makasiriko kama yote
 
Back
Top Bottom