Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Wakuu,
Nimeona si vibaya nikiwataadhalisha mkawa makini pale mnapoingia katika gate la mlimani city ili msije mkapata usumbufu kama ulinionipata mimi
Ni hivi ukiingia pale hasa ili geti kubwa la Sam nujoma rd mida ya mchana pale getini haukuti walinzi wanakua wamejificha pale kwa chini kwenye kibanda chao na geti la kuingilia wanaliacha wazi,nia na madhumuni ya kujificha kwao ili uingie bila ya card na utakapotoka bila ya ile card wakutoze faini ya shilingi elfu kumi pamoja na photocopy ya driving license na card ya gari kama hautaki huo usumbufu wa kwenda kutoa copy unatoa Rushwa ya shilingi 5000 kwa mlinzi basi unaluusiwa kuondoka,mnapoingia pale muwe makini kamwe husikubali kupita mpaka mlinzi atoke mafichoni kwenye kile kiofisi chao na upewe card ya kuingilia,
Nimeona si vibaya nikiwataadhalisha mkawa makini pale mnapoingia katika gate la mlimani city ili msije mkapata usumbufu kama ulinionipata mimi
Ni hivi ukiingia pale hasa ili geti kubwa la Sam nujoma rd mida ya mchana pale getini haukuti walinzi wanakua wamejificha pale kwa chini kwenye kibanda chao na geti la kuingilia wanaliacha wazi,nia na madhumuni ya kujificha kwao ili uingie bila ya card na utakapotoka bila ya ile card wakutoze faini ya shilingi elfu kumi pamoja na photocopy ya driving license na card ya gari kama hautaki huo usumbufu wa kwenda kutoa copy unatoa Rushwa ya shilingi 5000 kwa mlinzi basi unaluusiwa kuondoka,mnapoingia pale muwe makini kamwe husikubali kupita mpaka mlinzi atoke mafichoni kwenye kile kiofisi chao na upewe card ya kuingilia,