S Swat JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 4,200 Reaction score 1,990 Nov 4, 2012 #21 Ukikuta hawapo getini simama hapohapo getini,sababisha foleni. Watakuja kama 10 baada ya dak moja tu.
Ukikuta hawapo getini simama hapohapo getini,sababisha foleni. Watakuja kama 10 baada ya dak moja tu.
mtotowamjini JF-Expert Member Joined Apr 23, 2012 Posts 4,525 Reaction score 1,171 Nov 4, 2012 #22 sasa walinzi wenyewe wanalipwa sijui elfu 70 kwa mwezi mua mnawaonea huruma mnataka wakale wapi polisi?
sasa walinzi wenyewe wanalipwa sijui elfu 70 kwa mwezi mua mnawaonea huruma mnataka wakale wapi polisi?