Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huko ndiyo kuna upigaji haswaHizo sio rushwa mzee. Hujakutana na rushwa za kutisha kwa CAG na kila mtu kimya.
Ahahahahah namshangaaWale nini sasa, Acha nongwa mzee
Wale posho na mshaharaWale nini sasa, Acha nongwa mzee
Magufuli alikuwa si tu janga kwa Tanzania bali kwa Afrika yoteMagufuli alihalalisha hiyo na kuiita hela ya kupiga brashi viatu.
Huku akijinadi kuwa kinara wa kupiga vita rushwa
alafu wanapeleka kwa waliowapanga golini, usipo peleka unarusdishwa kikosi cha fidifosi.Habari wanakamati?
Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.
Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.
Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.
Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Kuna misukule yake itabisha.Magufuli alikuwa si tu janga kwa Tanzania bali kwa Afrika yote
Habari wanakamati?
Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.
Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.
Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.
Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Hiyo haiwezi kuguswa kwa mgao wake unapanda ngazi mpaka juu kabisa. Takukuru walijua wala hujishughulisha naloHabari wanakamati?
Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.
Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.
Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.
Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
magufuli alikataa kuwa mnafiki kama wewe na mleta mada.Magufuli alihalalisha hiyo na kuiita hela ya kupiga brashi viatu.
Huku akijinadi kuwa kinara wa kupiga vita rushwa
kwa africa kivipi!!!maana mnadai hakuwa na ushawishi wowote[emoji16][emoji16][emoji16]Magufuli alikuwa si tu janga kwa Tanzania bali kwa Afrika yote
ndio kakudanganya huyu mdogo wako uliyemweka hapo avatar???alafu wanapeleka kwa waliowapanga golini, usipo peleka unarusdishwa kikosi cha fidifosi.