Rushwa ni halali Tanzania? Askari wa barabarani wanachukua rushwa bila kificho wala hofu

Rushwa ni halali Tanzania? Askari wa barabarani wanachukua rushwa bila kificho wala hofu

magufuli alikataa kuwa mnafiki kama wewe na mleta mada.
Hapana.

Magufuli alikuwa mnafiki in chief Tanzania.

Mtu anayekwambia hataki rushwa halafu hapo hapo anasema trafiki kuchukua rushwa ni sawa, ni hela ya kupiga brashi viatu tu, huyo kama si mnafiki ni nani?
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Anaetoa na kupokea wote mang'ana...
 
Faini imekuwa ni kitega uchumi siku hizi,, Maaskari wanakula humohumo na serikali imefanya chanzo cha mapato.
 
Dawa ya rushwa za polisi ni kuwahamisha barabarani na kuanzisha special points za road inspection kupunguza standing points
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Hili fupa kila awamu limewashinda.. Na kayafa ndio alipalilia na kulitilia mbolea kabisa.. Yaani daladala kutoa ni sehemu ya hesabu ya siku
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Hawa jamaa siku akipatika mtu kubuni mfumo wa kuwadhibiti itabidi apewe tuzo , na makonda,pia walisha furaia kamchezo Yani dereva akisimamishwa gari inasima atua Kama 6 mbele ya askari then chochote kinakunjwa kwenye karatasi Kama msuba wa bangi au kitabu Cha risit au kwenye KADI ya gari


Kifuatacho konda anachomoka Kama mshale mfuata askari yuma ya gari na mchezo unamalizwa , alafu mwendo au askari atajifanya ingia ndani ya gari akiwa na lugha lain,maana tiyari ana kilainisho mfukoni ,jamaa Wanapiga pesa nzuri Sana Yani kwa kifupi
 
Habari wanakamati?

Naomba kuuliza kaswali kadogo tu.

Hivi nchi hii ya Tanzania rushwa si kosa tena? Polisi kwenye vituo vyao wako busy kuchukua rushwa bila haya. Barabarani pia wanachukua rushwa kwa bodaboda, watu wa bajaji na daladala kweupe.

Ukitaka kuhakikisha haya panda daladala ujionee. Traffic Police anasimamisha gari na wala halitazami gari alilolisimamisha zaidi ya ku negotiate na dereva au konda.

Kuna center moja hapa Dar traffic wana ratiba maalum. Wanaanza kupiga pesa kwenye daladala, kisha private car, kisha bajaji, halafu bodaboda na kumaliza na magari ya mizigo.
Hela ya kubrash viatu, aliwahi kusikika kiongozi mmoja wa wanyonge.
 
Waliambiwa wachukue buku 5 ya kubrash viatu, mama kapiga mwingi mpaka anajipiga madoba.
 
Mara papuuu,Botswana traffic officers wameingia nchini na ndio wanao control hizi barabara zetu,yaani itakua raha na yanayoandikwa kwenye mada hii yatakua history!!barabarani bila rushwa inawezekana mbona wenzetu wameweza?wako veryfriendly na ukiwa na tatizo wanakuelimisha ili kile tatizo lisijirudie tena!
 
Wana Baraka Zote Za Ccm 😏🙄😶😑😐😐
 
Back
Top Bottom