Rushwa ya Lissu, je tushughulike na Supply Chain( CCM) au Demand chain(Chadema) kukomesha, tujadili

Rushwa ya Lissu, je tushughulike na Supply Chain( CCM) au Demand chain(Chadema) kukomesha, tujadili

tripof

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2024
Posts
829
Reaction score
1,120
Lissu akiwa Iringa alilaumu na kukemea Rushwa iliyotapakaa CDM kutokea CCM yeye akimsema Mama Abdul na kuwa ndiye chimbuko la tatizo Kwa kauli yake. Rushwa hiyo ikielekea Chadema na kuwa hali imechafuka.

Kwangu mie ni onyo zuri lililojaa uadilifu na hekima,naomba yeye Lissu na wengine wanisaidie kupata suluhisho ya hili.

Je, tushughulike na rushwa inakotoka - The Supply side au tushughulike na The demand side inakohitajika. Nani mbaya zaidi?kati ya hawa wawili, au ni wote? ili tuiondoe. Tujadili bila itikadi.
 
Hakuna demand chain CHADEMA kwa kuwa siyo mfumo wa CHADEMA unaojihusisha na rushwa bali ni watu binafsi.

Lakini CCM Kuna supplying chain maana ni mfumo wa chama hicho kutumia hela kutoa rushwa ili kuendeshea siasa zake.
 
Lissu kasema nako chadema inaelekea kuwa rasmi! demand chain?
 
Duuuu ccm nanunuzi bado iko laziniii kazi sanaaaa
 
Lissu akiwa Iringa alilaumu na kukemea Rushwa iliyotapakaa CDM kutokea CCM yeye akimsema Mama Abdul na kuwa ndiye chimbuko la tatizo Kwa kauli yake. Rushwa hiyo ikielekea Chadema na kuwa hali imechafuka. Kwangu mie ni onyo zuri lililojaa uadilifu na hekima,naomba yeye Lissu na wengine wanisaidie kupata suluhisho ya hili. Je tushughulike na rushwa inakotoka - The Supply side au tushughulike na The demand side inakohitajika. Nani mbaya zaidi?kati ya hawa wawili, au ni wote? ili tuiondoe. Tujadili bila itikadi.
Sheria ya PCCB inashughilika na yote mawili!
 
Back
Top Bottom