Rushwa ya ngono kwa walimu vyuoni

YoungAge.org

Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
46
Reaction score
12
Naombeni msaada wana JF. Ni sababu zipi hupelekea mwalimu kuomba au kupewa rushwa ya ngono?
 
Kuna mwalimu alitaka kumlala demu fulani demu si akakomaa bwana wee akampa supplementary alafu uyo mwalimu full HIV na huwa anawalala wanafunzi bila kinga!
Ni unyama wa hali ya juu sana wapo wanawake wanaoendekeza huo ushenzi but wengine hawana hayo mambo!
Na mlaaniwe mnaowaomba wadada nyuchi ili wapasi kinyume cha apo mnawafelisha!
 
Tamaa and taking advantage of their need for good grades of course!
 

Duh! college gani huko watu wachukue tahadhari?
 
mwalimu atakufelishaje wakati umefaulu? huyo dada alikubalije kufanya sup wakati anajua kabisa aliandika mtihani vizuri ila amefelishwa?
 
mwalimu atakufelishaje wakati umefaulu? huyo dada alikubalije kufanya sup wakati anajua kabisa aliandika mtihani vizuri ila amefelishwa?

Utafanyaje basi kama unajua umeandika mtihani vizuri na mwalimu anayekutaka akakupa sup?
 
Kalikuwa kama kamtego kuna demu yeye alishalalwa so akatumika akamwambie na mwenzie alalwe.Uyo shoga akaufikisha ujumbe ambao alipewa majibu kuwa ilo haliwezekani.Kuhadi akatumwa na mwalimu kuwa kamwambie kuwa basi ategemee SUP.It is some 13 years toka iyo issue itokee baadae huyo mwalimu walimfix na kupewa warning na demotion as alimparamia demu wa mkubwa bila kujua
 
Utafanyaje basi kama unajua umeandika mtihani vizuri na mwalimu anayekutaka akakupa sup?
Kwani nini sababu ya kuwepo Academic Appeals Boards vyuoni? Au Chuo chenu Mwl. ndiye final, akikupa A sawa na uki-sup nowhere to go?
 
Kwani nini sababu ya kuwepo Academic Appeals Boards vyuoni? Au Chuo chenu Mwl. ndiye final, akikupa A sawa na uki-sup nowhere to go?

Je kuna kesi yoyote ya mwanafunzi kuombwa uroda ambayo iliwahi kufikishwa katika appeal board na haki ikatendeka? Ikizingatiwa mazingira ya kuombana rushwa ya ngono na ugumu wa ushahidi endapo mlalamikaji atalazimika kumshitaki mhadhiri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…