M Makamuzi JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 1,155 Reaction score 263 Aug 11, 2012 #61 YoungAge.org said: Sawa mhadhiri, lakini mbona wahadhiri wa kike hawalazimishi ngono na wanafunzi wa kiume? Click to expand... Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa
YoungAge.org said: Sawa mhadhiri, lakini mbona wahadhiri wa kike hawalazimishi ngono na wanafunzi wa kiume? Click to expand... Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #62 Makamuzi said: Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa Click to expand... wajilegeze wapi? wahadhiri ndio manyang'au wanatumia janja ya kalamu kuwananiliu watoto wa wenzao
Makamuzi said: Mi siyo mhadhir,lkn nimepita chuo nliona watoto wa kike walivyokuwa wanajilegeza kwa wahadhir,cjui ndo kuwashwa Click to expand... wajilegeze wapi? wahadhiri ndio manyang'au wanatumia janja ya kalamu kuwananiliu watoto wa wenzao
M Makamuzi JF-Expert Member Joined Oct 3, 2011 Posts 1,155 Reaction score 263 Aug 11, 2012 #63 YoungAge.org said: wajilegeze wapi? wahadhiri ndio manyang'au wanatumia janja ya kalamu kuwananiliu watoto wa wenzao Click to expand... Watakuwa nao wanapenda,chuo gan hicho?
YoungAge.org said: wajilegeze wapi? wahadhiri ndio manyang'au wanatumia janja ya kalamu kuwananiliu watoto wa wenzao Click to expand... Watakuwa nao wanapenda,chuo gan hicho?